2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

IMG_0861.jpeg
 
Kwa hapo walipendelewa? So leo Ufaransa alipendelewa.....

Hiyo picha ya tatu, ilikuwa mechi na nani?
Anza kama ulivyoanza na taaluma yako ya urefa.

Hiyo hapo pichani una amua nini?

Na hapo kumbuka kuna favor za Messi na kuna favor za timu.

Faulo 14 hakuna kadi, mwenye faulo 11 ana kadi 5

Kuna vitu hata ukipinga unaweza kujiona mjinga.
 
Anza kama ulivyoanza na taaluma yako ya urefa.

Hiyo hapo pichani una amua nini?

Na hapo kumbuka kuna favor za Messi na kuna favor za timu.

Faulo 14 hakuna kadi, mwenye faulo 11 ana kadi 5

Kuna vitu hata ukipinga unaweza kujiona mjinga.
So leo kulikuwa na favor kwa Olise?(Natumia mtizamo wako)

Nimekuuliza Argentina alicheza na Uholanzi 2026,maana picha ya tatu ni beki ya Uholanzi Ake na hapo ilikuwa kwenye boksi la Uholanzi bila shaka, sasa wewe ulitakaje kwenye hiyo picha refa afanyaje.
 
Wanaweza kulegezeana

Spain na Argentina wakikutana ni mechi ya kindugu.

Hata humu ndani watashindwa waende na na nani ila kwasababu Dwarf ndio waliyeanza naye tangu 2022 nadhani huyo ndio atakuwa priority.
Hahaha
Hakuna cha undugu kwenye mchuano...
Mi ni team spain 🇪🇸 💙
Humu team mbape wataenda na messi
 
Back
Top Bottom