Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 7,312
- 12,761
Hilo sio swali, umeona alama ya ?Hilo swali muulize baba ako
Hilo sio swali, umeona alama ya ?Hilo swali muulize baba ako
Watahama team zote,Messi akisha chukua kombe watahamia kuitukana FIFA.Team Ronaldo wana hali mbaya sana
Kwahiyo ulitaka kusema Nini?Hilo sio swali, umeona alama ya ?
Kiungo ya ufaransa imeshikwa mnoUfaransa nawaaminia kwenye kambaki hawajawahi nifelisha
Hamna cha cumback apa, mtu ashakalia jitiKwahiyo ulitaka kusema Nini?
Sawa bro mi ni team France katika shida na raha.Nipo kaka leo nashabikia wahispania watu wenye IQ kubwa ya mpira.
Subiri kipindi Cha after break. Naimani kocha na bench la ufundi watatoa motisha kwa wachezaji. Goli la mapema limewatoa kwenye mchezoSimuoni olise leo
Mimi ni team france lakini Messi akichukua Kombe nitakuwa nyuma yake maana pia ni team MessiWatahama team zote,Messi akisha chukua kombe watahamia kuitukana FIFA.
Mpaka wabebe mimba.France wanapelekewa moto vibaya mno
Wanapelekewa moto balaaSubiri kipindi Cha after break. Naimani kocha na bench la ufundi watatoa motisha kwa wachezaji. Goli la mapema limewatoa kwenye mchezo
Subirini uoneHamna cha cumback apa, mtu ashakalia jiti
Aibu ya nini tena.Aibu naona mimi