2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

The deadliest duo I've ever seen in a national team, these two are the cheat code of football
FB_IMG_1782857033933.jpg
FB_IMG_1782856832622.jpg
 
Anayeweza kuwazuia ufaransa ni spain tu. Anawabonda vizuri sana. Bayern mwaka huu ilikua hivohivo ukikutana nayo unapigwa nyingi ila uliona walivyokutana na aseno. Walipigwa tatu kama wamesimama
Mkuu unajiamini sana, lakini kwa jinsi France wanavyopiga mpira sidhanikama Spain wanaweza huo mziki, anyway nitunze maneno..
 
Back
Top Bottom