Nadhani hata wao Sweden kuna namna wana enjoy kufungwa.Ufaransa wanapiga mpira utasema ni playstation mtu anachezesha..
Anayeweza kuwazuia ufaransa ni spain tu. Anawabonda vizuri sana. Bayern mwaka huu ilikua hivohivo ukikutana nayo unapigwa nyingi ila uliona walivyokutana na aseno. Walipigwa tatu kama wamesimamaIla wakuu tuache siasa hii timu mh ndio timu iliyokamilika kuliko timu zote this time
Mkuu unajiamini sana, lakini kwa jinsi France wanavyopiga mpira sidhanikama Spain wanaweza huo mziki, anyway nitunze maneno..Anayeweza kuwazuia ufaransa ni spain tu. Anawabonda vizuri sana. Bayern mwaka huu ilikua hivohivo ukikutana nayo unapigwa nyingi ila uliona walivyokutana na aseno. Walipigwa tatu kama wamesimama
Bora useme Argentina, Spain nao wa kawaida tu, kwa kifupi France bingwaAnayeweza kuwazuia ufaransa ni spain tu. Anawabonda vizuri sana. Bayern mwaka huu ilikua hivohivo ukikutana nayo unapigwa nyingi ila uliona walivyokutana na aseno. Walipigwa tatu kama wamesimama