Bora useme Argentina, Spain nao wa kawaida tu, kwa kifupi France bingwa
Mwaka huu huu hicho kikosi kikiwa ndani wamekula chuma tano toka spain tena yamal kidogo atupie hat trick. Kwenye uero tena wamebondwa. Note this France hachukui kombe. Hua sikosei jama. Nitarudi kuwakumbushaMkuu unajiamini sana, lakini kwa jinsi France wanavyopiga mpira sidhanikama Spain wanaweza huo mziki, anyway nitunze maneno..
Hapo unatamani angekua ni RonaldoRating never liesView attachment 3619373
Ngoja tuone...Mwaka huu huu hicho kikosi kikiwa ndani wamekula chuma tano toka spain tena yamal kidogo atupie hat trick. Kwenye uero tena wamebondwa. Note this France hachukui kombe. Hua sikosei jama. Nitarudi kuwakumbusha
Tutakuwepo..Wakuu tukutane baadaye kwenye mechi ya Dr. Congo na England.
Asubuhi hata ukichekewa kazini unakuwa na sababu ya msingi kuelezea na kueleweka kwanini umechelewa.Hapo unatamani angekua ni Ronaldo
Mexico na Ecuador vipiWakuu tukutane baadaye kwenye mechi ya Dr. Congo na England.
Hii si ni kesho…..Wakuu tukutane baadaye kwenye mechi ya Dr. Congo na England.
Baelekeze baeleweKuhusu Ufaransa tukisema muwe mnaelewa
Kuhusu nini mfano?Kuhusu Ufaransa tukisema muwe mnaelewa
Kwa Tz ..Ecuador wanacheza baadae saa 1 jioni.. US itakuwa late night..Hii si ni kesho…..
Baadaye ni Ecuador na Mexico.