2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Haya bwana safari njema je, Argentina akishinda utakimbia humu ?
Nitaangalia atashindaje.

Kama kupitia hiki kibox nitaona
FB_IMG_1782632853999.jpg
 
Yamal kabakiza Uefa na ballon d'or

Euro &WC tayari

Dogo anaweza kumaliza boli katika umri mdogo sana.
Wakati huo beberu wa kireno hata fainali ya world cup hajawahi kucheza, baba yake yamal ni mdogo kiumri kwa beberu wa kireno.

Yani yamal kacheza fainal ya wc kitu ambacho beberu la kireno linakiota na kimegoma kutokea
 
Back
Top Bottom