2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Hiyo picha sijaiweka kwa bahati mbaya, umeifanya kuwa ajenda kwasababu hujasoma post ambazo nimekujibu.

Huo mtiririko wa matukio wenye aim ya kibiashara na ushabiki ni upi ambao tuki connect na hilo tukio tunapata conclusion ya FIFA kumbeba Olise?

Mfano mimi nikiweka hoja ya Messi na Argentina kubebwa na FIFA naweza ku pointi mapenzi ya raisi wa FIFA kwa Messi.

Infantino alisema anatamani Messi abebe kombe la dunia. (Hii ni average point)

Baada ya kusema kauli hiyo, Argentina alipewa penati 5. Ni idadi ambayo mpaka sasa inashikiliwa na timu moja tu ya Argentina.

Mechi dhidi ya Netherlands Messi aliwakejeli bench la ufundi la Netherlands na hakupewa kadi ya njano, hapa sijahesabia ile handball kabisa (hii nayo ni average point)

Siku 9 kabla ya fainali FIFA na viongozi wa AFA walisaini mkataba wa mabilioni ya fedha yakitumwa kwenye account ambayo sio ya shirikisho la AFA (hii ni big point)

2026 Argentina inapangwa kwenye kundi dhaifu, bado mechi zake zinajaa controversial yenye matukio mengi yanayoibeba Argentina. (Average point)

Mechi dhidi ya Cape Verde, Infantino anaweka wazi mapenzi yake kuwa ameteseka pamoja na mashabiki wenzake wa Argentina. (big point)

Mechi dhidi ya Egypt, bao mbili za kutangulia zinamfanya Infantino akasirike jukwaani. (Average point)

Argentina anafanya comeback na kupata goli la ushindi, Claudio Tapia na Infantino wana hug kwa furaha. (Big point)

Infantino anagundua amefanya mistake anaamua kushika bendera ya Egypt kwenye mechi ya baadaye ili kuua soo kupitia tukio lake alilolionesha kwenye mechi ya Egypt la kukumbatiana na Claudio Tapia baada ya kushindwa kuhimili hisia. (Big point)

Hizi ndio baadhi ya pattern ambazo zinam link FIFA, Infantino kwenye upendeleo wa wazi amaofanyiwa Messi na Argentina.

Wewe hauwezi kuniwekea hii pattern kwa Olise hata kidogo.

Na hiyo nimeifanya tu briefly ila kuna mengi sana nikianza kuandika hapa itachukua muda pengine kuyamaliza.
Kwanza Argentina hakupangwa kundi dhaifu bali juhudi zake za kushika nafasi ya kwanza zimemfanya awakwepe vigogo. Hiyo timu unayo ishabikia wewe Ureno, ilipangwa na timu zipi tuanze kwenye Rank za FIFA, tusiongee kwa hisia? Maana hata Ureno angeshika nafasi ya kwanza,basi robo ndio angekutana na timu ngumu ambayo ni Argentina, sasa yeye mwenye kashika nafasi ya pili sasa tutamsaidiaje wakati kazembea mwenyewe.Halafu kwenye michuano hii, timu gani ilipagwa kwenye kundi gumu? Utasema trend najua nyie timu CR7,okay Colombia kashika nafasi ya kwanza, kakutana na Ghana, then akatolewa na Uswizi, Uswizi akakutana na Argentina akapigwa.Okay kwa Trend hii Ureno kama angeshika nafasi ya kwanza si alikuwa anajipigia, ila yy mwenyewe kazingua.

Messi zidi ya Uholanzi Messi hakumkejeli mtu, bali alireact baada ya bench la Uholanzi kumzingua, so aulitegemea akae kimya?Okay kwani mchezaji akifanya kama alivyo fanya Messi zidi ya benchi la Uholanzi, refa huwaga anafanyaje?

Kwa hiyo wewe mind reader, criteria gani uliotumia kumuona Infantino alikasirika baada ya Cape Vedre kuchomoa goli mbili?

Wapi huyo Infantino aliyaweka hayo mapenzi yake wazi (Vizuri ukashare reputable sources).

So kupewa penalty tano ndio kupendelewa?OK unaweza kushare hizo video tano za hizo Penalty kuonyesha huo upendeleo.

Unazidi kuwa Muongo ,hebu soma hii
Halafu niambie wapi hizo hela zilitumwa account ya FIFA maana tuhuma za AFA zipo hapa "U.S. federal authorities are examining whether hundreds of millions of dollars in AFA-linked commercial revenue were laundered, specifically targeting international sponsorship and media-rights funds." Halafu hizi ni tuhuma ambazo zinazofanyiwa uchunguzi na hazihusiani na FIFA.

TATIZO LAKO UNAONGEA HISIA ZAKO ZILIZO JAA MAUMIVU ZINAZO KUPELEKEA KUWA MUONGO.
 
Nimeamini kweli nina jicho la mpira. Haya niliyoyaandika hapa niliyazungumza pia mwezi wanne semifinals ya Uefa PSG vs Bayern watu walikua wanajua Bayern anapita mm nikakataa, ikatokea. Mimi nikasema pia French hatoboi kwa spain coz wao mpira wao wanategemea mbio tu. Mtu akishika mpira wanatupiana mipira mirefu so wakikutana na timu inayomiliki mpira wanapigwa hiyo mbinu ndo inayotumika na Barcelona pia kuchapa Madrid. Mimi sichambui mpira kwa mahaba natumia ubongo kutokana na watu wanavyocheza.
Jana Spain walikua wanacheza kwa mabavu ile mimi naiita kata funua na km England au Argentina akikutana na Spain asipocheza mpira wa mabavu na yeye anachezea na Spain anachukua ndoo timu yoyote itakayokutana na Spain inabidi icheze kwa mabavu sana
 
Jana Spain walikua wanacheza kwa mabavu ile mimi naiita kata funua na km England au Argentina akikutana na Spain asipocheza mpira wa mabavu na yeye anachezea na Spain anachukua ndoo timu yoyote itakayokutana na Spain inabidi icheze kwa mabavu sana
Mkuu, hata head to head France huwa anapasuka mno
 
Hiyo picha sijaiweka kwa bahati mbaya, umeifanya kuwa ajenda kwasababu hujasoma post ambazo nimekujibu.

Huo mtiririko wa matukio wenye aim ya kibiashara na ushabiki ni upi ambao tuki connect na hilo tukio tunapata conclusion ya FIFA kumbeba Olise?

Mfano mimi nikiweka hoja ya Messi na Argentina kubebwa na FIFA naweza ku pointi mapenzi ya raisi wa FIFA kwa Messi.

Infantino alisema anatamani Messi abebe kombe la dunia. (Hii ni average point)

Baada ya kusema kauli hiyo, Argentina alipewa penati 5. Ni idadi ambayo mpaka sasa inashikiliwa na timu moja tu ya Argentina.

Mechi dhidi ya Netherlands Messi aliwakejeli bench la ufundi la Netherlands na hakupewa kadi ya njano, hapa sijahesabia ile handball kabisa (hii nayo ni average point)

Siku 9 kabla ya fainali FIFA na viongozi wa AFA walisaini mkataba wa mabilioni ya fedha yakitumwa kwenye account ambayo sio ya shirikisho la AFA (hii ni big point)

2026 Argentina inapangwa kwenye kundi dhaifu, bado mechi zake zinajaa controversial yenye matukio mengi yanayoibeba Argentina. (Average point)

Mechi dhidi ya Cape Verde, Infantino anaweka wazi mapenzi yake kuwa ameteseka pamoja na mashabiki wenzake wa Argentina. (big point)

Mechi dhidi ya Egypt, bao mbili za kutangulia zinamfanya Infantino akasirike jukwaani. (Average point)

Argentina anafanya comeback na kupata goli la ushindi, Claudio Tapia na Infantino wana hug kwa furaha. (Big point)

Infantino anagundua amefanya mistake anaamua kushika bendera ya Egypt kwenye mechi ya baadaye ili kuua soo kupitia tukio lake alilolionesha kwenye mechi ya Egypt la kukumbatiana na Claudio Tapia baada ya kushindwa kuhimili hisia. (Big point)

Hizi ndio baadhi ya pattern ambazo zinam link FIFA, Infantino kwenye upendeleo wa wazi amaofanyiwa Messi na Argentina.

Wewe hauwezi kuniwekea hii pattern kwa Olise hata kidogo.

Na hiyo nimeifanya tu briefly ila kuna mengi sana nikianza kuandika hapa itachukua muda pengine kuyamaliza.
Pain landed as intended.
 
Jamaa atakuwa na msongo wa mawazo maana baada ya Cristiano wake kuwa na poor performance ever jamaa akahamia kwa Pemba, pemba nae kaondoka so jamaa anafosi wachezaji anao wakubali washinde kwa maandiko yake yake marefu Jamii Forums. Amechanganyikiwa
Jamaa anateseka sana juu ya Argentina, yeye kila kitu kwake kipo scripted. Nashangaa kama anahisi ni hivyo, kwanini timu anazozikubali zisipambane kabisa zimtoe? I mean wapige magoli mengi, hayawezi kukataliwa, halafu wazuie kwa akili uone kama yupo wa kuwazuia kushinda..

Eti wanakutana na timu rahisi, huyu jamaa anaugua
 
Teh teh teh 😃 😃 😃 😃 wewe umepumzika tu kwa muda...

Najua tu baadae utarudi kundini tuungane tena..💕💕💖
Toka kombe limeanza
Mimi timu yangu Ilikuwa France tu, niliweka Imani sana kwao maana last time tuliteleza tu kidogo
Wapuuzi hawa wanatoka kizembe namna hiyo
 
Back
Top Bottom