Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,530
- 61,938
Hapo vpNingependa Spain ikutane na France tuone udambwi dambwi wa mafundi wa pande zote
Hapo vpNingependa Spain ikutane na France tuone udambwi dambwi wa mafundi wa pande zote
Kweli mpira ni haramu...😃😃😃
Kuna watu kila wanapohamia wanapeleka gundu.Teh 😃 😃 😃 kesho itabidi tuhamie England tumzuie Messi..
Ndio maana mimi na wewe hatujawa refaZote ni faulo, ile ya Olise ni Straight red card hamna mjadala ile ya Mbape ni faulo ya kawaida.
😆😆Hii hata Spain akishindahatafika mbali, akikutana na USA, France au Portugal anabamizwa vizuri tu
Ulaya ni Ureno ndio huwa anamsumbua Spain na matokeo yake ni ngumu kutabiri ila hawa wengine Spain huwa anajipigia kirahisi tu.Sawa mkuu we kaa na hayo matokeo yako mfukoni England usiichukulie poa sana
🥶🥶Huu mpira anacheza hapa Spain haumfungi France ng'o.
Sasa mbona wewe unakuwaga refa kwenye muamuzi wa matukio ya Argentina au ikiwa Argentina unakuwaga refa ila leo ndio mtazamaji?Ndio maana mimi na wewe hatujawa refa
Ningekuwa refa hata ile penati sifuniki.
Deschamps alijichanganya toka awali...Barcola na Tchou ni wachezaji hewa. Kocha alijichanganya kuwaacha nje Doue na Kone. France chupi inaloa wakisikia tu Spain.
Aah wapiUkijichanganya kuishabikia England furaha yako itakaa kama status whatsapp yaani masaa 24 tu
Ikiwa England itatolewa nitahamia Spain.Hatimaye team France mpumzike Sasa .😃😃
Teh teh 😃 😃 😃 mpaka kieleweke..
Mtakutana na hawa Spain fainali wawatundike tenaWanangu wa England tusomame kesho
Hamia Argentina upate Faraja ....Ikiwa England itatolewa nitahamia Spain.
Hakuna kupumzika mpaka July 19.
Subiri kwanza umjue mpinzani wake .Spain na muona akibeba ndoo, yaani leo France wamekuwa wadogo.