min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,634
- 164,931
Wameshikwa kila nyanja yanabutua tuWazi kivipi
Wameshikwa kila nyanja yanabutua tuWazi kivipi
Hii mechi imeshangaza wengi aisee ..Spain wamewasoma vizuri sana Ufaransa..Kelele zao zitamalizwa ndani ya uwanja.
Ulaya timu inayoipa tabu Spain labda huwa Ureno hata Spain huwa anashinda kwa tabu ila Ufaransa kwa sasa ni uji tu mbona mechi ilikuwa wazi matokeo yake yanafahamika kabla hata ya game kuanza.
Hao wa juu washapoteza dira wajiandae na mechi ya kusaka mshindi wa tatu tu
Wataalam wa football kama sisi wala haijatushangazaHii mechi imeshangaza wengi aisee ..Spain wamewasoma vizuri sana Ufaransa..
Hawa wajukuu wa Charles wakitinga fainali baada ya miaka 60 watakamia mno ...
Mbape atakuwa ameshazeeka .....Yamal ndio atakuwa Messi mpya.France sasa wakapumzike. Tukutane 2030
Sitaki Tena mpira
France ata mshindi wa 3 anaweza asipateHao wa juu washapoteza dira wajiandae na mechi ya kusaka mshindi wa tatu tu
Unapenda kujiamulia mambo mwanetuIla France wanaweza fanya maajabu kama Argentina Vs Egypt dk za mwisho wakakuweka Goli mbili mfululiza wakenda matuta msibeze sana jamani 🤣🤣
Duh!....noma sana aisee..Wataalam wa football kama sisi wala haijatushangaza
Kelele zingekuwa nyingi sanaHii faulo kama ingechezwa na mchezaji wa Argentina, humu kungekuwa na kelele.
View attachment 3629371