Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,710
Watt wa afu 2 na 5 wa Spain damu changa ...
Wacheze na wazee , subiri muone kazi...
leo cha mtt😃
Wacheze na wazee , subiri muone kazi...
leo cha mtt😃
Sio mbaya maana yake na mimi hapo katikati nitakuwa nimefurahia Argentina kutolewa.Mtakutana na hawa Spain fainali wawatundike tena
Sahihi kile chuma cha tatu alichopiga daah! wamenikatili sema VAR tuDogo ana miaka mingi sana ya kutengeneza 'legacy' yake kama Messi.
Messi kapendelewa wapi?Kwasababu wewe hauwagi refa kama ulivyokuwa leo.
Halafu Argentina kwenye ishu ya kupendelewa hao ni too much huwezi hata kuwawekea excuse kama hizi.
YesUlii support Spain toka mwanzo ?
Leo una uliza Messi kapendelewa wapi?Messi kapendelewa wapi?
Hili tukio lingekuwa kafanya Argentina, ungekuwa umeandaa picha mia kidogo,kila siku ungekuwa unapost naona una Adobe ya kuedit picha.
Haya bwana safari njema je, Argentina akishinda utakimbia humu ?Sio mbaya maana yake na mimi hapo katikati nitakuwa nimefurahia Argentina kutolewa.
Hiyo kwangu ni kubwa sana na itafuta huzuni zangu zote, sitaikumbuka hata hii mechi ya leo.
😋😋😋😋😋🙅🙅Ila France wanaweza fanya maajabu kama Argentina Vs Egypt dk za mwisho wakakuweka Goli mbili mfululiza wakenda matuta msibeze sana jamani 🤣🤣
Hatuhusiki na ufaransa kabisa bwasheeMashabiki wa Ronaldo mpo 😂😂
Ukiangalia mbele na nyumaSpain wapo vizuri, leo wamefanya matusi ya mpira mbele ya timu iliyopewa asilimia kubwa ya kuchukua kombe hili.
Sijaona akipendelewa ndio maana nimekuuliza wapi maana mechi zake nimeziona.Leo una uliza Messi kapendelewa wapi?
Yaani hujui?
Uliona mbali.Yes
Spain na ureno ...
Ila
nilikuwa natamani sn spain ichukue kombe....
Katatoka tu japo kanalingia Dingi yakeHuyo messi mwenyewe natamani atolewe tupunguziwe makelele humu😃😃
Wamezidiwa kila engo alafu waje na maajabu?Ufaransa lazma watafanya kamu-baki tunawafahamu vzr