Na iwe hivyo. Kuna watu tunataka kuwatia aibuArgentina na Ufaransa watacheza mshindi wa tatu kesho Uingereza anashinda
Hatimaye team France mpumzike Sasa .😃😃Siamini macho yangu nachokiona
WameturogaHatimaye team France mpumzike Sasa .😃😃
Wana miaka mingi ya kucheza....bado wana muda wa kubadilika..Na huu ndio ukweli nina imani labda baada ya miaka 50-100 atakuja kutokea mchezaj wa kuvunja rekodi ya Messi na Ronaldo.
Kwa hawa watoto akina Lamine na Mbappe, sio hata dalili
Aslam aleiykum Ostadh MudiKwa hakika.
Wote tumepatwa na mshangao
Teh 😃 😃 😃 kesho itabidi tuhamie England tumzuie Messi..Wameturoga
Kelele zao zitamalizwa ndani ya uwanja.Wajukuu wa Charles wakitinga fainali kelele zitakuwa nyingi kuanzia nje ya uwanja mpaka ndani ..
Wazi kivipiMbona ipo wazi toka dakika ya kwanza?
Changamoto kubwa sanaTatizo tunahesabia pesa mfukoni bwashee
Naachana na mambo ya mpira kabisaTeh 😃 😃 😃 kesho itabidi tuhamie England tumzuie Messi..