SMART PASSENGER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 1,210
- 1,722
Kwa Mpira huu kumbe Ata Uingereza mtashangaa anabeba Hii world cup
Matokeo na mechi za Ufaransa na Spain za karibuni ulifuatilia ?Hii ngoma imekuja kuwa ngumu aisee 😃
Hawezi kubeba mbele ya Spain atafungwa kama alivyo fungwa kwenye EuroKwa Mpira huu kumbe Ata Uingereza mtashangaa anabeba Hii world cup
Zote ni foulSasa hiyo utafanisha na njumu iliyokita kwenye kifundo.
😂😂Spain anacheza mshindi wa 3 na England, utakuja kuifukua hii Spain mshindi wa 3
Spain kwa Ufaransa hii ana kibarua kigumu ..
Dah..
Zote ni faulo, ile ya Olise ni Straight red card hamna mjadala ile ya Mbape ni faulo ya kawaida.Zote ni foul
Na zote zili deserve red card.
Olise alitakiwa kuwa sent off kwa rafu hiyo
😆😆Ikumbukwe hii
Nusu Fainali
Spain v France
France anapita anaingia Final
....
Robo Fainali
Norway v England
England anapita
....
Argentina v Switzerland
Argentina anapita
....
Nusu Fainal
Argentina v England
Argentina anapita
....
Pay-off 3rd place
Spain v England
Winner: Spain
......
Final
Argentina v France
WC26 Winner: Argentina
Tunza kumbukumbu hii
Sawa mkuu we kaa na hayo matokeo yako mfukoni England usiichukulie poa sanaHawezi kubeba mbele ya Spain atafungwa kama alivyo fungwa kwenye Euro
Mkuu nimegundua watu wengi humu hawajui mpira, wanaendeshwa na mihemko. Unaanzaje kumchukulia poa bingwa wa Ulaya? Inashangaza sanaMimi bado nawashangaa hivi kwanini mlikuwa mna mchukulia poa Spain..? Spain ile pale ina mtu mmoja tu ambae hayupo serious (Lamine) wengine wote ni watu wa kazi na mpira wanaujua.
Shikeni maneno yangu, mtaiona Fainali nzuri tamu ya kitaalam na mpira utatembea sana, na hii fainali ni LAZIMA iwe Argentina vs Spain.
Hao waingereza ni kama Taifa Stars, nyie endeleeni kuwaamini watawatia aibu kama ureno na kizee chao walivyo watia aibu...
Argentina anabeba 🏆 back to back
Unajua soka mwananguFrance hua ni kibonde kwa Spain
Duuu aisee😬Ukisikia mwanaume anatooom dakika 90 hakojoi ndohii sasa leo France tumeukalia
Maumivuuuuuuuuuuuu!!!
France ouuutttttt!
Mbape outttttt!!!
Siku zote mimi napenda njia ngumuUtateseka sana mwaka huu 😂
Wameamia kwa england bwashee na tunawafata uko ukoGuys nipeni mau yangu mmeona watu walivyoteswa. Niliwaambia toka zamani
Hata angeingia yeye mwenyewe Deschamps hakuna mahali Ufaransa ingeifunga Spain.Barcola na Tchou ni wachezaji hewa. Kocha alijichanganya kuwaacha nje Doue na Kone. France chupi inaloa wakisikia tu Spain.