2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Barcola na Tchou ni wachezaji hewa. Kocha alijichanganya kuwaacha nje Doue na Kone. France chupi inaloa wakisikia tu Spain.
 
Spain kwa Ufaransa hii ana kibarua kigumu ..
IMG_0855.jpeg
 
Ikumbukwe hii

Nusu Fainali

Spain v France

France anapita anaingia Final
....
Robo Fainali

Norway v England

England anapita
....
Argentina v Switzerland

Argentina anapita
....
Nusu Fainal

Argentina v England

Argentina anapita
....
Pay-off 3rd place

Spain v England

Winner: Spain
......
Final

Argentina v France

WC26 Winner: Argentina

Tunza kumbukumbu hii
😆😆
 
Mimi bado nawashangaa hivi kwanini mlikuwa mna mchukulia poa Spain..? Spain ile pale ina mtu mmoja tu ambae hayupo serious (Lamine) wengine wote ni watu wa kazi na mpira wanaujua.
Shikeni maneno yangu, mtaiona Fainali nzuri tamu ya kitaalam na mpira utatembea sana, na hii fainali ni LAZIMA iwe Argentina vs Spain.
Hao waingereza ni kama Taifa Stars, nyie endeleeni kuwaamini watawatia aibu kama ureno na kizee chao walivyo watia aibu...
Argentina anabeba 🏆 back to back
Mkuu nimegundua watu wengi humu hawajui mpira, wanaendeshwa na mihemko. Unaanzaje kumchukulia poa bingwa wa Ulaya? Inashangaza sana
 
Utateseka sana mwaka huu 😂
Siku zote mimi napenda njia ngumu

Kama hauna kifua usiniige, kaungane na ukoo wa Infantino huko ni asali na maziwa ila kwa kesho nina mashaka huwenda ikawa ni mchicha na magimbi.
 
Barcola na Tchou ni wachezaji hewa. Kocha alijichanganya kuwaacha nje Doue na Kone. France chupi inaloa wakisikia tu Spain.
Hata angeingia yeye mwenyewe Deschamps hakuna mahali Ufaransa ingeifunga Spain.

Ufaransa first half walikuwa wanacheza kama vile wao ndio wanaongoza moja na sec half walikuwa wanacheza kama vile wao wanaongoza 2 ukiacha hizi dakika za mwishoni
 
Back
Top Bottom