2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Second half sijaona kocha wa Spain kabadili nini. Naona hata South Korea anawatandika hawa hata robo hawaendi kwa mpira nyanya huu wanaocheza hapa.

Hawana strategy kabisa. Spanish wachezaji wa Real Madrid walioachwa wataona hamna sababu ya msingi iliyowaweka nje ya kikosi.
Na hapa kakutana na Cape Verde ambayo timu nzima inacheza kama beki

Maana yake Cape Verde amepima uwezo wa attacking

Akikutana na timu inayoshambulia tunaweza kuona madhaifu ya defense pia
 
Spain's Mikel Oyarzabal is the first player on record since 1966 to play the first 30 minutes of a FIFA World Cup match without touching the ball once.
IMG_0598.jpeg
 
Back
Top Bottom