World cup ya mwaka hii ni script tu ambayo ilishapangwa. Hizi timu zikizocheza na argentina hata taifa staz tukizikamia tunaondoka na pointWamebebwa tena😅
Swala la Argentina kubebwa lipo kibiashara zaidi.World cup ya mwaka hii ni script tu ambayo ilishapangwa. Hizi timu zikizocheza na argentina hata taifa staz tukizikamia tunaondoka na pointView attachment 3627666
Kocha ndiye anajua. Amewapa ubingwa, uyoo nusu fainali.Hivi kocha wa Argentina anashida na Giuliano Simeone,Giovani Lo Celso?
Kwanini kila siku De Paul anaanza ilhali anazidiwa kiwango na hao wamba?
#Hallelujah!!!
Upumbavu tu wakutane na England sasaWorld cup ya mwaka hii ni script tu ambayo ilishapangwa. Hizi timu zikizocheza na argentina hata taifa staz tukizikamia tunaondoka na pointView attachment 3627666
Red card ya kipumbavu mnoHadi wao wanajishtukia aibu sana
Hatimaye wamekutana, Insha-Allah pira litanoga..Upumbavu tu wakutane na England sasa
Spain kwa Ufaransa hii ana kibarua kigumu ..Spain anatimu tena uwezo wa kuitoa Ufaransa anao, mpaka sasa hamna timu inayo miliki mpira kwa kiwango kikubwa kama Spain. Spain wamekosa number, kama angekuwa na striker level za akina David Vila, Torress au Morata France sizani kama angechomoka.
Hizi takataka tunapiga kama ngomaHatimaye wamekutana, Insha-Allah pira litanoga..
Sijakataa ila sio rahisi kwa Ufaransa kumpiga Spain kizembe zembe. Kazi sana kuzifunga timu zinazo miliki mpira, unachotakiwa kuwa very accurate kwa nafasi huzipatazo, maana sizani kama Ufaransa atapata nafasi nyingi.Spain kwa Ufaransa hii ana kibarua kigumu ..
Numbisa hi👋👋👋
Hapana mkuu hatujalala wote ila nina hakika haujatazama mpira.Mkuu kwani tulilala wote mpaka useme sijatazama?
Rafiki angu sijui ulifeli wapi. Ukachagua huzuni badala ya furaha. Pole sana.Chitaki. Fifa kama mods wa JF
Goli mia 9 sabini na kitu, huzuni ipo wapi hapoRafiki angu sijui ulifeli wapi. Ukachagua huzuni badala ya furaha. Pole sana.
Rafiki angu sijui ulifeli wapi. Ukachagua huzuni badala ya furaha. Pole sana.
Kandanda ni pamoja na timu kuwa na uwezo wa kukabiliana na makandokando yote na ikaibuka mshindi.
Hapana mkuu hatujalala wote ila nina hakika haujatazama mpira.
Kama kweli ulitazama na kuona mbeleko fc basi utakuwa haujui mpira so kachome vitumbua au angalia kombolela mkuu.
Kumbe ni mapenzi personal na sio ya kimpira??CR7 Handsome bana. Yaani ni ile handsome,rich,tall etc kakamilika kila idara aiseee
Kumbe ni mapenzi personal na sio ya kimpira??