2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Aisee game tamu...
Hawa belgium wahakikishe wanapeleka mipira kwa de kitalare alafu washinde mpira wa piri watawasumbua sana spain. Wasihangaike na kucheza kutoka nyuma....wao game waanze kulicheza kwenye half ya spain watapata magoli na wakimuingiza lukaku ndio kabisa
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom