Kama ni hivyo elezea uovu wote usiwe selective
Unavyoiandama Argentina na Messi utafikiri ndio timu au mchezaji pekee duniani aliyewahi kufaidika na maamuzi yenye utata
Ronaldo na Ballon D'or ya 2013?..Ribbery analalamika mpaka leo
Malalamiko kuhusu Madrid au Man U kubebwa? husemi kisa ni timu zako
Halafu unadai eti Ronaldo kashinda kila kitu cleanly....kwamba mpira tumeanza kuangalia leo??...au wewe pekee ndo mtu anayefatilia mpira ???
Hata nikielezea uovu wote bado Messi anabaki kuwa on top na hili wewe unalijua.
Kilichofanyika jana kwenye mechi ya France na Morroco kufuatia swala la FIFA kuweka marefarii wote kutoka nchi ya Argentina.
Ndio kitu hicho hicho walichofanya FIFA 2013 kwenye Ballon dor ya Ronaldo.
Marefarii wa Argentina walitumika kama ufagio wa kuwasfisha FIFA na Argentina dhidi ya ulanguzi walioufanya kwenye mechi dhidi ya Egypt.
2013 Ronaldo aliwahi kutukanwa na raisi wa FIFA na kufanya Portugal na mashabiki wa Ronaldo wamchukie Raisi huyo.
Na mbaya zaidi alienda mbali kwa kusema Messi ndio bora zaidi kwani Ronaldo hana chochote zaidi ya usela wa kuweka mitindo ya nywele.
Hicho kitu kilimjengea uhasama mkubwa na ili kuua soo ndio akaja na hizo drama za kuongeza muda wa kupiga kura.
Hii automatically ilienda kumsafisha kwasababu automatically ilikuwa na tafsiri ya kwamba imewekwa hivyo ili kumpa advantage Ronaldo kwenye mechi yake dhidi ya Sweden.
Ndio maana hata hawa marefarii wa Argentina niliwaona ni muendelezo uleule wa kimkakati ambao FIFA wamefanya.
Kwenye malalamiko yangu yote kuhusu kubebwa na favor anazopewa Messi nimejikita zaidi kwenye hili kombe kuliko ishu zingine kama Ballon Dor.
Kwasababu hata wewe mwenyewe sidhani kama uko tayari nijadili Ballon Dor ya 2010, na sidhani kama utakuwa na utetezi wa aina yangu nilioutoa kuonesha FIFA walikuwa wana restore imani ya wadau wa soka kuonesha kwamba hawana upande katia ya Messi na Ronaldo.