2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Tukutane kesho
IMG_0814.jpeg
 
W
Scale 1/10 nampa 7

Unajua kwanini?

Kwasababu ya pressure ya wakosoaji, hawa waliwekwa kimkakati ili kuja kuzima hizi kelele.

So next game Argentina akifanya robbery tuonekane critics hatuna hoja kwasababu kuna game ya France waamuzi walichezesha fair.

Na baadhi ya matukio walionekana kuipendelea France (kabla ya faulo iliyozaa penati kulikuwa na faulo waliyofanya France kabla ya pasi haijamfikia Olise)

So ukiunga dots unaweza kupata concept kwamba kwanini baada ya game ya Egypt na Argentina kulalamikiwa kuwa waamuzi wanaipendelea Argentina lakini bado waamuzi wa mechi ya France wote wametoka nchi ya Argentina?

Ni mkakati wa kujisafisha nothing else.
Mnaanza kuchambua kunde sasa sio mpira
 
Kwa hiyo Pessi fans wataanza kujadili swala la refa kumaliza mechi bila lawama.

Ni kama hata wenyewe hawakutegemea mechi kuisha hivi kwasababu wanajua isivyo rahisi kuwa against Messi ukiwa ni m Argentina.

So walisubiria sana hii itokee ili wapate cha kusema.

Go to hell
1783349111554.png
 
Raha sana JF, asante sana kwa furaha hii
Kuwa humu tunabishana ni kama tuko banda umiza yaliyotukuza
Wengine wazazi tunaangalia mpira na familia hatuna nafasi ya kwenda kwenye vilabu
 
Naona kabisa Mbappe anaenda kubeba hii wolrd cup... afu Ufaransa inaenda kuweka record ya kucheza final tatu za world cup mfululizo

Hii record ilikua inashikiliwa na Brazil
Itakuwa ni rekodi ya Brazil na Germany.
Germany.
1982 vs Italy
1986 vs Argentina
1990 vs Argentina.
Brazil
1994 vs Italy
1998 vs France
2002 vs Germany
 
Scale 1/10 nampa 7

Unajua kwanini?

Kwasababu ya pressure ya wakosoaji, hawa waliwekwa kimkakati ili kuja kuzima hizi kelele.

So next game Argentina akifanya robbery tuonekane critics hatuna hoja kwasababu kuna game ya France waamuzi walichezesha fair.

Na baadhi ya matukio walionekana kuipendelea France (kabla ya faulo iliyozaa penati kulikuwa na faulo waliyofanya France kabla ya pasi haijamfikia Olise)

So ukiunga dots unaweza kupata concept kwamba kwanini baada ya game ya Egypt na Argentina kulalamikiwa kuwa waamuzi wanaipendelea Argentina lakini bado waamuzi wa mechi ya France wote wametoka nchi ya Argentina?

Ni mkakati wa kujisafisha nothing else.
😁😁😁unajitahd sana kutengeneza hoja za kipuuzi👐👐
 
Back
Top Bottom