Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,760
- 22,065
Yani hawa kabla hata ya hydration break
Tukumbushe Ulisemaje ?Nilisemaaaaaaa
Hawa jamaa leo hovyo kabisa...ile kona fupi wakaiche,ea haya hii nayo wamepiga wanavyojua wao.Daaa amepiga kona kama anaokoa
Spain 🇪🇸Kabla sijaenda kulala nataka kujua France tunaweza kukutana nusu Fainal na Argentina tulipe kisasi mapema ?
Tayari
Kuanzia sasa moroko wanatepeta na zinaiingia zingine
Tumumbushe Ulisemaje ?
Hahaha km walivyofika hio hatua ndio wanavyotoka kwenye hio hatuaHawa Morocco walifikaje hii hatua..?🙄
Wanakatisha tamaa hawa...bora timu zote za Africa zitoke tu sasaMorocco nawakataa kuanzia sasa makende nyie
Wanacheza kijinga Sana LeoWanakatisha tamaa hawa...bora timu zote za Africa zitoke tu sasa