Kwasababu ya pressure ya wakosoaji, hawa waliwekwa kimkakati ili kuja kuzima hizi kelele.
So next game Argentina akifanya robbery tuonekane critics hatuna hoja kwasababu kuna game ya France waamuzi walichezesha fair.
Na baadhi ya matukio walionekana kuipendelea France (kabla ya faulo iliyozaa penati kulikuwa na faulo waliyofanya France kabla ya pasi haijamfikia Olise)
So ukiunga dots unaweza kupata concept kwamba kwanini baada ya game ya Egypt na Argentina kulalamikiwa kuwa waamuzi wanaipendelea Argentina lakini bado waamuzi wa mechi ya France wote wametoka nchi ya Argentina?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.