2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Messi with corruption and robbery
FB_IMG_1783701868091.jpg


Messi without corruption and robbery
Screenshot_20260710-194731.png
 
Hata nikielezea uovu wote bado Messi anabaki kuwa on top na hili wewe unalijua.

Kilichofanyika jana kwenye mechi ya France na Morroco kufuatia swala la FIFA kuweka marefarii wote kutoka nchi ya Argentina.

Ndio kitu hicho hicho walichofanya FIFA 2013 kwenye Ballon dor ya Ronaldo.

Marefarii wa Argentina walitumika kama ufagio wa kuwasfisha FIFA na Argentina dhidi ya ulanguzi walioufanya kwenye mechi dhidi ya Egypt.

2013 Ronaldo aliwahi kutukanwa na raisi wa FIFA na kufanya Portugal na mashabiki wa Ronaldo wamchukie Raisi huyo.

Na mbaya zaidi alienda mbali kwa kusema Messi ndio bora zaidi kwani Ronaldo hana chochote zaidi ya usela wa kuweka mitindo ya nywele.

Hicho kitu kilimjengea uhasama mkubwa na ili kuua soo ndio akaja na hizo drama za kuongeza muda wa kupiga kura.

Hii automatically ilienda kumsafisha kwasababu automatically ilikuwa na tafsiri ya kwamba imewekwa hivyo ili kumpa advantage Ronaldo kwenye mechi yake dhidi ya Sweden.

Ndio maana hata hawa marefarii wa Argentina niliwaona ni muendelezo uleule wa kimkakati ambao FIFA wamefanya.

Kwenye malalamiko yangu yote kuhusu kubebwa na favor anazopewa Messi nimejikita zaidi kwenye hili kombe kuliko ishu zingine kama Ballon Dor.

Kwasababu hata wewe mwenyewe sidhani kama uko tayari nijadili Ballon Dor ya 2010, na sidhani kama utakuwa na utetezi wa aina yangu nilioutoa kuonesha FIFA walikuwa wana restore imani ya wadau wa soka kuonesha kwamba hawana upande katia ya Messi na Ronaldo.
Kwahiyo kwa maana yako ni kwamba timu au mchezaji mwingine akipendelewa wanafanya hivyo ili ku balance kubebwa kwa Messi na Argentina???
Wakiibeba Man U ni ili wa balance?
Wakiibeba Madrid ni ili wa balance?
Kama ni hivyo maana yake unakubali Ronaldo Ballon D'or ya 2013 hakustahili na alibebwa??
Sasa hizo story zako kuwa hajawahi kubebwa zimetoka wapi????
Usinishirikishe kwamba mi najua kitu ambacho sikijui...Messi uwezo wake unajulikana, mpira mi nawe tunauona wala sijawahi kufikiria kuwa Ronaldo ana uwezo mkubwa na habebwi na Messi ana uwezo mdogo ila anafanikiwa sababu anabebwa
Unaishi dunia ipi??
Ballon D'or zote alibebwa
Makombe yote amebebwa
Magoli yote kabebwa
Vitu vyote anavyofanya uwanjani ni sababu ya kupendelewa na FIFA
Wachezaji, makocha, waandishi wa habari wanaosema ni bora wameambiwa waseme hivyo na FIFA???
Rooney katumwa na FIFA
Zlatan pia
Henry??
N.k
Bro grow up
Usitumie nguvu nyingi kueneza hatred yako kwa Messi na Argentina kwa story za kuokoteza
 
Kama ni hivyo elezea uovu wote usiwe selective
Unavyoiandama Argentina na Messi utafikiri ndio timu au mchezaji pekee duniani aliyewahi kufaidika na maamuzi yenye utata
Ronaldo na Ballon D'or ya 2013?..Ribbery analalamika mpaka leo
Malalamiko kuhusu Madrid au Man U kubebwa? husemi kisa ni timu zako
Halafu unadai eti Ronaldo kashinda kila kitu cleanly....kwamba mpira tumeanza kuangalia leo??...au wewe pekee ndo mtu anayefatilia mpira ???
Piga kichwani huyo mkuu bado hajafa naona kama anapumua...
 
Back
Top Bottom