Siku Argentina anacheza waHuyo nae ndumila kuwili alitangaza yeye ni england ila mpaka sasa bado haimini kabisa
Najua mkuu ukiondoa mbususu mpira ndio ulevi wangu.Mkuu uko vizuri hadi set peace unajua
DahSiku Argentina anacheza wa
Argentina tulikua wawili tu
time mach inaendelea Misri wakiwa mbele kwa bao mbili kuna mtu aliniambie nikauze maandazi
Ila kuanzia dakk ya 70 kwenda juu gafla watu walianza kunywea kama unyoya uliomwagiwa maji
Na kuanza kuiilaani Africa
Nipo peke yangu sebuleni na TBC nilikuwa na ndugu zake shemeji wameenda kulala sasa nimebaki peke yangu nacheki gemu 🤣Umetoka kwa shemeji yako au nilete kiboko🤣
Kwa sababu ameshindaSababu???
France waombe wasikutane na Spain. Kwa mpira wao wanalizwa
Ameshinda nini??Kwa sababu ameshinda
Serious TBC dah toka kwa shemeji aisee hivi mbape una muonaNipo peke yangu sebuleni na TBC nilikuwa na ndugu zake shemeji wameenda kulala sasa nimebaki peke yangu nacheki gemu 🤣
Kombe la Dunia likiisha ndio natoka kwa shemeji View attachment 3626061
Subiri mpira ukiishaAmeshinda nini??
Walikua wanatetea ndoa zao kwa cr7 tangu 2006 mpaka 2026 haijui fainal ya word cup ina radha ganiSiku Argentina anacheza wa
Argentina tulikua wawili tu
time mach inaendelea Misri wakiwa mbele kwa bao mbili kuna mtu aliniambie nikauze maandazi
Ila kuanzia dakk ya 70 kwenda juu gafla watu walianza kunywea kama unyoya uliomwagiwa maji
Na kuanza kuiilaani Africa
Na ndio bai baiWalikua wanatetea ndoa zao kwa cr7 tangu 2006 mpaka 2026 haijui fainal ya word cup ina radha gani
Hivi TBC ukifika muda wa taarifa ya habari na kuna game ya wordcup inakuaje au ndo mnafanyiwa ukatili wa kijinsiaSerious TBC dah toka kwa shemeji aisee hivi mbape una muona
Au unamuona kwa mbali sana🤣
Taratibu sasa ila anaefata kuaga haya mashindano nafikiri england na SwitzerlandNa ndio bai bai
NimekuelewaKuna dalili naziona kwenye hii mechi
Na haya ni mambo ambayo yanaweza kutokea.
Kufuatia pressure ya wakosoaji mitandaoni baada ya hawa waamuzi kutoka taifa moja la Argentina ina weza kuwa na mambo mawili.
Jambo la kwanza: Hawa marefa wanaweza kuwa walichaguliwa kimkakati ili waje wafanye maamuzi yatayo mnufaisha France ili baadaye ije ionekane France wamesaidiwa au kubebwa na marefa wa Argentina.
Mbinu hii itaenda moja kwa moja kuisafisha FIFA dhidi ya tuhuma nyingi ambazo imekuwa ikihusishwa pamoja na upendeleo wa wazi ambao Argentina wamekuwa wakiupata kwenye mechi zao.
Hii inaweza kufanya Morroco pia waanze kuichukia France na kusema ilibebwa, na automatically ule mjadala wa FIFA na Argentina hautakuwepoView attachment 3626063
Jambo la pili ambalo nalifikiria ni kwamba Refa wanaweza kutoa maamuzi ndivyo sivyo kwenye matukio ambayo yatakuwa wameiminya Morroco ili critics wakose cha kusema.
Halafu baadaye waje na comeback ya kuja na maamuzi ya kuja kuinyonga France ili tukose kauli ya kusema waamuzi wanainyonga France kulingana na matukio ya mwanzo yaliyokuwa yameamuliwa kwa namna inayompa advantage France.
Katika haya mawili tegemea moja.
Sehemu yeyote ambayo itakuwa na utata nitakuwa naweka vi-clips.