2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kocha anataka kutafuta huruma, huwezi kuwa unaongoza goli 2 had dakik ya 79 zinarudi zote na kuongezwa halafu useme umeporwa ushindi kana kwamba Argentina walipewa magoli ya offside au penalt ya bure. Mzee inapaswa amuheshimu Mess nadhani walijisahau wakadhani Mess ni Lukaku. Wao huku Africa huwa wanaonea timu zingine kuanzia timu ya Taifa hadi vilabu lakini sisi huwa hatusemi, leo ufungwe na Mess useme mmenyimwa ushindi, kiliwashinda nini kumzuia Mess asitoe assist na kupiga lile shoot la goal?
Huyu Mzee kaamuaa kutetea kibarua chake kijanja

Mtu unaongoza Goli 2 ndani ya DK 11 unaruhusu wanasawazisha na kuongeza Goli la tatu

Makocha WA kiafrica hawataki kukubali ukweli kuwa wamezidiwa mbinu,Yale Yale ya Senegal na Belgium, Bora hata cabo Verde waliocheza 120
 
Katika mashindano yote yaliyowakutanisha Messi na Ronaldo. Messi anashikilia rekodi ya kupiga penalti nyingi.

Laliga, Messi amepiga penati nyingi kuliko Ronaldo.

UEFA, Messi amepiga penalti nyingi kuliko Ronaldo.

World Cup, Messi anaongoza kwa kupiga penalti nyingi.

Hizi ni stats ambazo huwezi kuona mashabiki wa Messi wakiziongea
Acha porojo
 
IMG_0808.jpeg
 
Da vinci nilikusahau na wewe hivi itakuwaje siku Argentina akitoka.

Mana nyie ndo wasemaji mi nawasindikiza. 😅
Mkuu mimi sina shida na Argentina sana naogopa tu kwamba ikitoka nitapata shida kwa ajili ya masahbiki wa Ronaldo, Ila shida ipo Spain ikitolewa Daah. Natamani sana fainali spain ifike shida anakutana na France very soon
 
Kesho mtamsahau mbape wenu, atalia kama mtoto na kumfuata idol wake 😀

Morocco 🇲🇦💪🏽💪🏽

Mpaka sasa timu zangu zote zmetinga robo final
Argentina 🇦🇷🇦🇷✅✅✅✅✅✅✅
Morocco 🇲🇦✅✅✅
Spain 🇪🇸 ✅✅

Kila lakheri kwao
Siwezi kushangaa.

Unajua kwanini?

Kwasababu
Screenshot_20260708-095301.png
 
Mmeanza, kwahiyo ikitokea ufaransa akishinda mtasema nini? Ikitokea morocco ameshinda means amebebwa! 😀😀 kazi kweli kweli
Dalili ya mvua ni mawingu.

Tushaona upendeleo waliofanyiwa Argentina kwa maamuzi yaliyoinyonga Egypt.

Tumeona jinsi Rais wa FIFA akiweka wazi hisia zake kwa Argentina.

Tumeona namna Rais wa FIFA alikasirika baada ya Egypt kufunga bao la pili (japo baadaye kwenye game ya Colombia alionekana akishika bendera ya Egypt ili kuua soo ku clear tukio lake la kukasirika baada ya Egypt kufunga bao)

Tumeona jinsi Rais wa AFA ambaye saizi anakabiliwa na kashfa ya utakatishaji fedha wa zaidi ya dola milioni 57 akiwa yupo kwenye uchunguzi chini ya FBI.

Na mbaya zaidi tumeona jinsi Raisi huyo wa AFA bwana Claudio Chiqui Tapia akikumbatiana na Raisi wa FIFA Gianni Infantino kwa furaha ya kushangilia bao la tatu la Argentina.

Haya matukio yote yanakufikisha kwenye hitimisho moja, there's something fishy going on in this tournament
 
Morocco nawapa sport yangu na nitafrahi kuona wazungu waliojipaka Masizi Meusi wakiondolewa
sina chuki na Morocco kabisa

wacha niwe tofauti na wamatumbi wa Africa ikiwemo watanzania wanaotumia kauli ya mchezaji mmoja kuwachukia
 
Back
Top Bottom