SMART PASSENGER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 1,202
- 1,698
Yagangwe yajayo wakati andunje anaenda kuchukua ndoo
Yagangwe yajayo wakati andunje anaenda kuchukua ndoo
Huyu Mzee kaamuaa kutetea kibarua chake kijanjaKocha anataka kutafuta huruma, huwezi kuwa unaongoza goli 2 had dakik ya 79 zinarudi zote na kuongezwa halafu useme umeporwa ushindi kana kwamba Argentina walipewa magoli ya offside au penalt ya bure. Mzee inapaswa amuheshimu Mess nadhani walijisahau wakadhani Mess ni Lukaku. Wao huku Africa huwa wanaonea timu zingine kuanzia timu ya Taifa hadi vilabu lakini sisi huwa hatusemi, leo ufungwe na Mess useme mmenyimwa ushindi, kiliwashinda nini kumzuia Mess asitoe assist na kupiga lile shoot la goal?
BIla shaka wew utakuwa ni mtu mfupiRonaldo hajawahi kubebwa anayebebwa anajulikana na dunia nzima inashuhudia
Nani kawaambia washindwe kumzuia Mess asifunge na kutoa assist? Kuna goli la penalt pale? Kwa hii midomo yenu ndio maana Mess huwa anakosa penalt makusudi ili afunge magoli ya kawaida maana anaijua midom yenu.Kubebwa kuna weza kuathiri maamuzi ndani ya uwanja kisaikolojia na ukaruhusu magoli
Acha porojoKatika mashindano yote yaliyowakutanisha Messi na Ronaldo. Messi anashikilia rekodi ya kupiga penalti nyingi.
Laliga, Messi amepiga penati nyingi kuliko Ronaldo.
UEFA, Messi amepiga penalti nyingi kuliko Ronaldo.
World Cup, Messi anaongoza kwa kupiga penalti nyingi.
Hizi ni stats ambazo huwezi kuona mashabiki wa Messi wakiziongea
Whatever!!!!Yagangwe yajayo wakati andunje anaenda kuchukua ndoo
Tushawakela sana, so wanatuvizia tuanguke waanze mashambulizi…😂😂😂😂Mtani namuwaza tu rafiki yangu Greatest Of All Time atazuiaje mashambulizi. 😀
Au ndo atatokomea kusikojulikana. 😅
Mkuu mimi sina shida na Argentina sana naogopa tu kwamba ikitoka nitapata shida kwa ajili ya masahbiki wa Ronaldo, Ila shida ipo Spain ikitolewa Daah. Natamani sana fainali spain ifike shida anakutana na France very soonDa vinci nilikusahau na wewe hivi itakuwaje siku Argentina akitoka.
Mana nyie ndo wasemaji mi nawasindikiza. 😅
Iko wazi Argentina ni timu ya mbeleko ipo wazi ni kama fifa wanataka wa win hili kombe back to back
Kesho mtamsahau mbape wenu, atalia kama mtoto na kumfuata idol wake 😀
Siwezi kushangaa.Kesho mtamsahau mbape wenu, atalia kama mtoto na kumfuata idol wake 😀
Morocco 🇲🇦💪🏽💪🏽
Mpaka sasa timu zangu zote zmetinga robo final
Argentina 🇦🇷🇦🇷✅✅✅✅✅✅✅
Morocco 🇲🇦✅✅✅
Spain 🇪🇸 ✅✅
Kila lakheri kwao
Mmeanza, kwahiyo ikitokea ufaransa akishinda mtasema nini? Ikitokea morocco ameshinda means amebebwa! 😀😀 kazi kweli kweli
Dalili ya mvua ni mawingu.Mmeanza, kwahiyo ikitokea ufaransa akishinda mtasema nini? Ikitokea morocco ameshinda means amebebwa! 😀😀 kazi kweli kweli
😁😁😁hisia zitawatesa sanaHuwezi ku rule out kuwa kulikuwa na foul kwenye build up kuelekea goli la 3 La team fifa, wanabebwa sana hiyo ipo wazi