2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Screenshot_20260708_052502_Instagram.jpg

Screenshot_20260708_052522_Instagram.jpg
 
Kocha anataka kutafuta huruma, huwezi kuwa unaongoza goli 2 had dakik ya 79 zinarudi zote na kuongezwa halafu useme umeporwa ushindi kana kwamba Argentina walipewa magoli ya offside au penalt ya bure. Mzee inapaswa amuheshimu Mess nadhani walijisahau wakadhani Mess ni Lukaku. Wao huku Africa huwa wanaonea timu zingine kuanzia timu ya Taifa hadi vilabu lakini sisi huwa hatusemi, leo ufungwe na Mess useme mmenyimwa ushindi, kiliwashinda nini kumzuia Mess asitoe assist na kupiga lile shoot la goal?
 
Kocha anataka kutafuta huruma, huwezi kuwa unaongoza goli 2 had dakik ya 79 zinarudi zote na kuongezwa halafu useme umeporwa ushindi kana kwamba Argentina walipewa magoli ya offside au penalt ya bure. Mzee inapaswa amuheshimu Mess nadhani ijisahau akadhani Mess ni Lukaku. Waobhuku Africa huwa wanaonea timu zingine kuanzia timu ya Taifa hadi vilabu lakini sisi huwa hatusemi, leo ufungwe na Mess useme mmenyimwa ushindi, kiliwashinda nini kumzuia Mess asitoe assist na kupiga lile shoot la goal?
 
Kocha anataka kutafuta huruma, huwezi kuwa unaongoza goli 2 had dakik ya 79 zinarudi zote na kuongezwa halafu useme umeporwa ushindi kana kwamba Argentina walipewa magoli ya offside au penalt ya bure. Mzee inapaswa amuheshimu Mess nadhani ijisahau akadhani Mess ni Lukaku. Waobhuku Africa huwa wanaonea timu zingine kuanzia timu ya Taifa hadi vilabu lakini sisi huwa hatusemi, leo ufungwe na Mess useme mmenyimwa ushindi, kiliwashinda nini kumzuia Mess asitoe assist na kupiga lile shoot la goal?
Kosa moja la maamuzi linaweza vuruga timu kisaikolojia.
 
Niseme nini na wewe haujaona , maamuzi mabovu dhidi ya timu zinazocheza na Argentina hayajaanza leoView attachment 3624805
Hizo ni fikravza watu dhaifu sana, huwez kufungwa magoli halali ukasema watu wamebebwa wakati hadi dakik ya 78 jana mlikuwa mnafurahia ushindi baada ya Mess kufanya yake mmegeuza lugha.
 
Back
Top Bottom