Huyu naye ni mlevi tu kama walevi wengine, walishinda 2-0 sasa magoli 3 ya Argentina yamefungwa kwa mkono?
😀 hakuna kitu kama hicho Mkuu.Yap kwasababu kwenye VAR room yupo baba yenuView attachment 3624591
Kocha anataka kutafuta huruma, huwezi kuwa unaongoza goli 2 had dakik ya 79 zinarudi zote na kuongezwa halafu useme umeporwa ushindi kana kwamba Argentina walipewa magoli ya offside au penalt ya bure. Mzee inapaswa amuheshimu Mess nadhani walijisahau wakadhani Mess ni Lukaku. Wao huku Africa huwa wanaonea timu zingine kuanzia timu ya Taifa hadi vilabu lakini sisi huwa hatusemi, leo ufungwe na Mess useme mmenyimwa ushindi, kiliwashinda nini kumzuia Mess asitoe assist na kupiga lile shoot la goal?
Kocha anataka kutafuta huruma, huwezi kuwa unaongoza goli 2 had dakik ya 79 zinarudi zote na kuongezwa halafu useme umeporwa ushindi kana kwamba Argentina walipewa magoli ya offside au penalt ya bure. Mzee inapaswa amuheshimu Mess nadhani ijisahau akadhani Mess ni Lukaku. Waobhuku Africa huwa wanaonea timu zingine kuanzia timu ya Taifa hadi vilabu lakini sisi huwa hatusemi, leo ufungwe na Mess useme mmenyimwa ushindi, kiliwashinda nini kumzuia Mess asitoe assist na kupiga lile shoot la goal?
Kosa moja la maamuzi linaweza vuruga timu kisaikolojia.Kocha anataka kutafuta huruma, huwezi kuwa unaongoza goli 2 had dakik ya 79 zinarudi zote na kuongezwa halafu useme umeporwa ushindi kana kwamba Argentina walipewa magoli ya offside au penalt ya bure. Mzee inapaswa amuheshimu Mess nadhani ijisahau akadhani Mess ni Lukaku. Waobhuku Africa huwa wanaonea timu zingine kuanzia timu ya Taifa hadi vilabu lakini sisi huwa hatusemi, leo ufungwe na Mess useme mmenyimwa ushindi, kiliwashinda nini kumzuia Mess asitoe assist na kupiga lile shoot la goal?
Hakuna hicho kitu bwana kwani mpira wameanza kucheza wao? Embu sema sasa pale muamuzi kawaonea nini?Kosa moja la maamuzi linaweza vuruga timu kisaikolojia.
Niseme nini na wewe haujaona , maamuzi mabovu dhidi ya timu zinazocheza na Argentina hayajaanza leoHakuna hicho kitu bwana kwani mpira wameanza kucheza wao? Embu sema sasa pale muamuzi kawaonea nini?
Hizo ni fikravza watu dhaifu sana, huwez kufungwa magoli halali ukasema watu wamebebwa wakati hadi dakik ya 78 jana mlikuwa mnafurahia ushindi baada ya Mess kufanya yake mmegeuza lugha.Niseme nini na wewe haujaona , maamuzi mabovu dhidi ya timu zinazocheza na Argentina hayajaanza leoView attachment 3624805
Haujui mpira , naongea mpira unaleta ushabiki maandazi wa Messi na Ronaldo 🚮Hizo ni fikravza watu dhaifu sana, huwez kufungwa magoli halali ukasema watu wamebebwa wakati hadi dakik ya 78 jana mlikuwa mnafurahia ushindi baada ya Mess kufanya yake mmegeuza lugha.
Wewe unajua mpira gan? Hakuna mtu wa mpira anaweza leta hisia badala ya uwezo. Wewe unapeleka timu uwanjani unataka refa akusaidie au akuonee huruma badala ya uwezo wakoHaujui mpira , naongea mpira unaleta ushabiki maandazi wa Messi na Ronaldo 🚮
Waliona Swiz ni kama hawana akili..haya wakacheza Colombia na Argentina yaoAsillimia kubwa ya wadau walikua washajipangia Argentina atakutana na Colombia as if Swiss ni kama watatolewa kirahisi 😂
Mpo kwenye njia ya England, sijui utajigawa vipi hapo BwasheeSisi kama mashabiki wa yule Mbuzi,
Sasa hivi tunashangilia team gani?
Naomba muongozo tafadhali.
Sijawahi kuwashabikia hao wakoloni na haitatokea.Mpo kwenye njia ya England, sijui utajigawa vipi hapo Bwashee
Yatatokea yaleyale ya Misri, hivi akimpiga uswisi, nusu atakutana na nani?Uswisi kumpiga Ni ngumu kidogo
Bila shaka Bia ipo kichwani muda huu Bwashee,Naiona fainali ya ufaransa na England