2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

MIsri waache kulialia. Shida ilianza pale sub ya Haissem Hassan kupumzishwa. Mara nyingi nalaumu sana makocha kwa kufanya sub za hovyo wakati timu inaongoza.
Tuliona hivyo kwa ivory coast, tuliona hivyo kwa senegal na jana tumeona kwa Misri.
Wote waliongoza mpaka dk ya 86 zikapigwa comeback wakaondolewa. Misri jana wamecheza kwa nidhamu ya hali ya juu mpaka dk ya 79 ndio mambo yakaanza kubadilika. Wakaruhusu bao na baada ya dk 4 wakaruhusu bao la kusawazisha. Dk92 wakamaliziwa. Hata kama wanasema Argentina walibebwa, walishindwa nini kuzuia na kulinda zile goli mbili walizokuwa wametangulia?
Waache malalamiko.
Kubebwa kuna weza kuathiri maamuzi ndani ya uwanja kisaikolojia na ukaruhusu magoli
 
MIsri waache kulialia. Shida ilianza pale sub ya Haissem Hassan kupumzishwa. Mara nyingi nalaumu sana makocha kwa kufanya sub za hovyo wakati timu inaongoza.
Tuliona hivyo kwa ivory coast, tuliona hivyo kwa senegal na jana tumeona kwa Misri.
Wote waliongoza mpaka dk ya 86 zikapigwa comeback wakaondolewa. Misri jana wamecheza kwa nidhamu ya hali ya juu mpaka dk ya 79 ndio mambo yakaanza kubadilika. Wakaruhusu bao na baada ya dk 4 wakaruhusu bao la kusawazisha. Dk92 wakamaliziwa. Hata kama wanasema Argentina walibebwa, walishindwa nini kuzuia na kulinda zile goli mbili walizokuwa wametangulia?
Waache malalamiko.
Yule mwarabu fighter aliumia akaomba kutoka ila jamaa linajua boli maana alikuwa anawakimbiza sana
 
Kama Hilo ni tatizo kweli as you said kwanini France wasigome !? It means wewe unauwezo wa kuona Hilo tatizo kuliko France

😄😄 Hizi ni sawa na ramli chonganishi tu Mzee jikite kwenye chambuzi zenye logic

Kwani wakati hao marefa wanapangwa kuchezesha hiyo game fifa walikuwa wanauhakika kwamba Argentina Jana wangeshinda !?

Scars

Kwani makocha wakipangwa wote Toka Nchi Moja wanazuia vipi wachezaji kucheza!?
 
In 2014, when Argentina lost the final, nobody said Messi was carried. In 2022, when he lifted the World Cup, suddenly it became 'rigged' or 'carried.' Now Argentina reaches another quarter-final, and it's the same story again. Funny how the narrative changes when Messi wins. 🐐🇦🇷
#Hallelujah!!!
20260707_044008.jpg
 
In 2014, when Argentina lost the final, nobody said Messi was carried. In 2022, when he lifted the World Cup, suddenly it became 'rigged' or 'carried.' Now Argentina reaches another quarter-final, and it's the same story again. Funny how the narrative changes when Messi wins. 🐐🇦🇷
#Hallelujah!!!
View attachment 3624961
Ndio kawaida ya binaadamu

Binaadamu wabaya sana 😄

Wewe huoni hata huko uswahilini mtu anaweza kujiolea mke wake halafu waja wakaanza kusema mke wa jamaa ni mbaya , waja hao hao ukikaa bila ya kukuona na mwanamke watasema wewe ni hanithi
 
Katika mashindano yote yaliyowakutanisha Messi na Ronaldo. Messi anashikilia rekodi ya kupiga penalti nyingi.

Laliga, Messi amepiga penati nyingi kuliko Ronaldo.

UEFA, Messi amepiga penalti nyingi kuliko Ronaldo.

World Cup, Messi anaongoza kwa kupiga penalti nyingi.

Hizi ni stats ambazo huwezi kuona mashabiki wa Messi wakiziongea
Sasa Ronaldo atapiga vipi penalty in WC wakati li team lake huwaga kufika robo tu wanafika Kwa bahati
 
Back
Top Bottom