min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,632
- 164,989
Kubebwa kuna weza kuathiri maamuzi ndani ya uwanja kisaikolojia na ukaruhusu magoliMIsri waache kulialia. Shida ilianza pale sub ya Haissem Hassan kupumzishwa. Mara nyingi nalaumu sana makocha kwa kufanya sub za hovyo wakati timu inaongoza.
Tuliona hivyo kwa ivory coast, tuliona hivyo kwa senegal na jana tumeona kwa Misri.
Wote waliongoza mpaka dk ya 86 zikapigwa comeback wakaondolewa. Misri jana wamecheza kwa nidhamu ya hali ya juu mpaka dk ya 79 ndio mambo yakaanza kubadilika. Wakaruhusu bao na baada ya dk 4 wakaruhusu bao la kusawazisha. Dk92 wakamaliziwa. Hata kama wanasema Argentina walibebwa, walishindwa nini kuzuia na kulinda zile goli mbili walizokuwa wametangulia?
Waache malalamiko.