2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

MIsri waache kulialia. Shida ilianza pale sub ya Haissem Hassan kupumzishwa. Mara nyingi nalaumu sana makocha kwa kufanya sub za hovyo wakati timu inaongoza.
Tuliona hivyo kwa ivory coast, tuliona hivyo kwa senegal na jana tumeona kwa Misri.
Wote waliongoza mpaka dk ya 86 zikapigwa comeback wakaondolewa. Misri jana wamecheza kwa nidhamu ya hali ya juu mpaka dk ya 79 ndio mambo yakaanza kubadilika. Wakaruhusu bao na baada ya dk 4 wakaruhusu bao la kusawazisha. Dk92 wakamaliziwa. Hata kama wanasema Argentina walibebwa, walishindwa nini kuzuia na kulinda zile goli mbili walizokuwa wametangulia?
Waache malalamiko.
 
Messi ana mabao 672 Barcelona, na mabao 122 Argentina yote alibebwa...?

Ronaldo ana mabao 186 ya penalty..
Messi ana mabao 116 ya penalty...

Sasa jitafakari nani alibebwa zaidi..
Katika mashindano yote yaliyowakutanisha Messi na Ronaldo. Messi anashikilia rekodi ya kupiga penalti nyingi.

Laliga, Messi amepiga penati nyingi kuliko Ronaldo.

UEFA, Messi amepiga penalti nyingi kuliko Ronaldo.

World Cup, Messi anaongoza kwa kupiga penalti nyingi.

Hizi ni stats ambazo huwezi kuona mashabiki wa Messi wakiziongea
 
MIsri waache kulialia. Shida ilianza pale sub ya Haissem Hassan kupumzishwa. Mara nyingi nalaumu sana makocha kwa kufanya sub za hovyo wakati timu inaongoza.
Tuliona hivyo kwa ivory coast, tuliona hivyo kwa senegal na jana tumeona kwa Misri.
Wote waliongoza mpaka dk ya 86 zikapigwa comeback wakaondolewa. Misri jana wamecheza kwa nidhamu ya hali ya juu mpaka dk ya 79 ndio mambo yakaanza kubadilika. Wakaruhusu bao na baada ya dk 4 wakaruhusu bao la kusawazisha. Dk92 wakamaliziwa. Hata kama wanasema Argentina walibebwa, walishindwa nini kuzuia na kulinda zile goli mbili walizokuwa wametangulia?
Waache malalamiko.
Wachukue madesa kwa Morocco..hakuna kulemba mwandiko..piga nikupige..watu wana uchu na magoli..
Walianza dhihaka kwa kuwa mapenzi yao yapo kwa Ronaldo..ukiona mchezaji anafunga then anashangilia kudhihaki mtu ujue atalipwa ndani ya muda mfupi sana..maana akili unakuna huna ya Mpira.

Walifkiri kule ni CAF eee..kule watu wamewekeza pesa zao si kwa wajinga wajinga.

Ukimpiga team kubwa zile shika mwili na akili.
Zile goli 2 za Argentina hazina ubishi tuache hili la Tatu...Mo Salah alijua yupo Africa ukitupa tu tunaweka..Pressure ilishakuwa kubwa kwa wakati ule..kula vile ilikuwa kosa kwa nyakati kama ile.
 
Mwanafunzi akitokwa machozi ya furaha baada ya kufaulu mtihani wa kidato cha sita kupitia ChatGpt
FB_IMG_1783495533901.jpg
 
Back
Top Bottom