Funny boe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 3,326
- 7,369
HapanaIvi jaman lile gori la misri lililokataliwa,ingekuwa argentina ndiye kafunga wangelikataa kweli?
Greatest Of All Time
HapanaIvi jaman lile gori la misri lililokataliwa,ingekuwa argentina ndiye kafunga wangelikataa kweli?
Build up ya goli la tatu kulikuwa kuna faulu ilichezwa ila refa alipeta ni kama walivyolikataa lile la misri baada ya kutokea rabsha kwenye build up ile refa aliiona ila kwa hii ya Argentina refa alijidai hakuonaUngeenda kuongeza nguvu tu naimani mgeweza kushikilia bomba vyema
Time will tellYeah 😃😃
Sina ht team ila natamani kombe liende nchi ambayo haijawahi kuchukua
Ahsante sana mtani. Sasa unaweza kupumzika mtani kwa vifijo, furaha na nderemo. 🔥🔥Hahahaaa. Mtani siku zote mpira hauna mwenyewe hivyo wapinzani (Misri) wakubali tu kuwa mpira umedundikia Argentina leo.
Na kwa timu zetu za Africa haya tuliyatarajia mapema ilikuwa ni suala la muda tu.
Kumbe wewe ni mjinga kiasi hiki sikujuaWewe
Dah mkuu usinikumbushe tena nilikua najiandaa kwenda kufanya cesarean section ikabidi nisitishe akafanya rafiki yangu. Aisee niliumia sana.Tena kubwa , ile Yanga na Mamelodi sisahau sikulala usiku niliishia kugeuka hovyo kuugulia maumivu makali
Mkuu sina usemi 😂😂
Ahahahahaha😂😂Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Cr7 alipata nafuu kwa muda ila amezimia tena
Mjinga ni niniKumbe wewe ni mjinga kiasi hiki sikujua
Utajua wewe nishakupuuzaMjinga ni nini
Dah! Acha tu mkuu machozi yamenitoka kabisa nimeshindwa kuyazuia ningefurahia zaidi na siku yangu ingekuwa nzuri kama salah na timu yake wange progress hatua ijayo wali deservePole sana mkuu, kuna crying room
Twende tukalilie huko
Acheni visingizio.Build up ya goli la tatu kulikuwa kuna faulu ilichezwa ila refa alipeta ni kama walivyolikataa lile la misri baada ya kutokea rabsha kwenye build up ile refa aliiona ila kwa hii ya Argentina refa alijidai hakuona
Weeee acha presha shangilia bana as long as mwisho kuna kushinda kushindwaMe magoal ya mwanzo nakuwa sishangilii sana
Wewe ni muoga
Build up ya goli la tatu la Argentina kulikuwa na madhambi yalifanyika mkuuAcheni visingizio.
Misri ilikuwa inaongoza 2-0 huku zikiwa zimebaki dakika chini ya 10 mpira uishe.
Hili jambo sijui waafrika watajifunza lini, Ivory Coast na Senegal nao walifungwa hivihivi tena kwny dakika za 86 huko...hatujifunziExactly!
Unapoweka shinikizo la mashambulizi maana yake ni kwamba unaizuia timu pinzani kufanya mashambulizi kwako.
Subutuuu....mkubwa ni mkubwa tu..Apite Colombia atunyoshee Argentina
Haifiki nimewaambia mimiHii Argentina tia maji tia maji haifiki fainali