Hapana Wamefanya mabadiliko timu ikawa dhaifuWanazingua nini?
Hamna sehemu wamekosea, ndio mida ya Waafrika hii kufungwa.
Egypt wamtegemee Salah naye afunge. Kila timu itumie star wake. Hassan kutolewa nje ilikuwa hasara kwa Egypt.
FIFA PrincessMi VAR tena
Nilikuwa nakusoma hapo juu hadi huruma. š¤£š¤£Wachawi hiiiššš
ššš
Wanatuhuzunisha sana
Leo siowaoni vibenteni vya ufaransa naona tu nyumba ndogo za CR7ššš
Wanatuhuzunisha sana
Amtoe nani sasa mkuu. Sio kila ubovu jibu lake ni sub. Egypt siwadai hawajakosa clear chance yeyote, hawajapaki basi, hawajaacha kushambulia.Likocha la misri halifanyi subs.
Tukutane ½Tulia kijana mi nashabikiwa wanaume š„š„š„
Na Kumaintain ngumu sanaHilo ni tatizo...
Alizuia camera zisiwe zinamfuata maana anakuwa exposed sana na ushabiki wakeFifa president leo sijamuona au hayupo?
Tulia kwanzaTukutane ½