Kwamba France atabaki anawaangalia tu ?Hii Final inabidi wacheze Argentina na Morocco.
Yeye haitaki hiyo fainali?
Kwamba France atabaki anawaangalia tu ?Hii Final inabidi wacheze Argentina na Morocco.
Vipi kwa sasa hali yako ipoje mkuu?Goaaaaaal...
Tangu world cup ianze leo nimeshangilia sanaa
Bado hujasema.Ivi jaman lile gori la misri lililokataliwa,ingekuwa argentina ndiye kafunga wangelikataa kweli?
Build up ya goli la tatu kulikuwa kuna faulu ilichezwa ila refa alipeta ni kama walivyolikataa lile la misri baada ya kutokea rabsha kwenye build up ile refa aliiona ila kwa hii ya Argentina refa alijidai hakuona
Ningeku muislamu ningejiita SHARIFFMisri anapigwa kama sio 3 basi 4
Visingizio hamkosi!Build up ya goli la tatu la Argentina kulikuwa na madhambi yalifanyika mkuu
Roho mbaya tu 😂Vipi kwa sasa hali yako ipoje mkuu?
FIFA for MESSIArgentina hii na Colombia sijui..... ngoja tuone.
Uligongwa mpira kwanza ukaenda direction tofauti na anayoelekea SalahBuild up ya goli la tatu kulikuwa kuna faulu ilichezwa ila refa alipeta ni kama walivyolikataa lile la misri baada ya kutokea rabsha kwenye build up ile refa aliiona ila kwa hii ya Argentina refa alijidai hakuona
Ulikuwa unaongea ongea tu wala hukumaanishaNingeku muislamu ningejiita SHARIFF
Wakaze.Kwamba France atabaki anawaangalia tu ?
Yeye haitaki hiyo fainali?
Tuelezee tu mkuu tutajitahidi kuelewaRaha ninayo jisikia leo hakuna ane weza nielewa 😂😂😂
Ndio maana hata ile Penati aliipiga nje tu.Niliwaambia Messi huwa hataki magoli ya penati
Tuna hal mby snVipi kwa sasa hali yako ipoje mkuu?
Refa alikuwa Fair hamna kubebwa, mimi nimeangalia current performance ya Colombia na Argentina ,Colombia wapo vizuri . Salah kazingua mwenyewe, Julian alicheza mpira kwanza na ukawa out of control upande wa Salah. Salah kwanza alikuwa na option mapema ya kupiga pasi au krosi anastahili lawama. Lisandro kweli kakanyagwa so ni faulo.FIFA for MESSI