2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Hii ndio sababu mechi ilikuwa ngumu na rafu nyingi
FB_IMG_1783207979034.jpg
 
Hili tukio limenifanya nicheke


View attachment 3622785
Nimerudia kama mara 3 kuangalia, inachekesha sana inanikumbusha tukio la Oscar Ligi ya china aliwabutua timu pinzani na mpira usoni kwa makusudi zaidi ya mchezaji mmoja mtiti ukazuka uwanjani.

Paraguay walicheza kihuni sana Mbappe alikuwa anapanic akaamua Bora awe anacheka tu , mechi nzima jamaa wanapiga rafu za kihuni na kitoto sana
 
Nimerudia kama mara 3 kuangalia, inachekesha sana inanikumbusha tukio la Oscar Ligi ya china aliwabutua timu pinzani na mpira usoni kwa makusudi zaidi ya mchezaji mmoja mtiti ukazuka uwanjani.

Paraguay walicheza kihuni sana Mbappe alikuwa anapanic akaamua Bora awe anacheka tu , mechi nzima jamaa wanapiga rafu za kihuni na kitoto sana
Kwasababu kocha wao nim-Argentina
 
Back
Top Bottom