Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,221
Ukweli ulio wazi US alikua Bora, Leo France sio boraUSA alikuwa rahisi kumfunga kwasababu hakuwa tishio hivyo Paraguay hakuwa na mikakati ya kuzuia sana.
France imecheza fainali, na pia ndio timu inayopewa nafasi ya juu kuchukua huu ubingwa lakini kama haitoshi performance yake imekuwa ni kubwa sana.