2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

“Tulifanyiwa fitina kutoka kwenye uongozi wetu. Hotel mbaya. Chakula kila mtu anajitegemea tunakula migahawani wengine wakiagizia kwa delivery. Tulikosa morali tangu mechi ya kwanza. Uongozi umetuhujumu na wananchi walijue hilo”View attachment 3620558

Hawajui mpira, bora hata ya congo walijitahidi

Halafu wasirudie tena kulinganisha Morocco na timu yoyote afrika, na kombe hawakuatahili kuchukua.
 
Nikisema Raisi wa FIFA Gianni Infantino ni shabiki wa Argentina sio kama namuonea.

Hii ni interview fupi aliyoifanya baada ya game ya Argentina na Cape Verde.

Ni sekunde 10 zenye maneno mazito na yanayoelezea mambo mengi.

Gianni Infantino amesema maneno haya " I suffered with Argentina today"

Yani namna ambavyo mashabiki wa Argentina na Messi walivyokuwa wakiangalia mechi roho juu huku wakiwa katika pressure. Naye Gianni Infantino alikuwa anapitia machungu hayo hayo.

Na ukumbuke mara kadhaa camera zimemnasa akishangilia goli la Messi na muda mwingine furaha inazidi hadi makofi anapiga.

Lakini goli la Ronaldo linampa trauma, anakunja sura.



 
Since the 2018 tournament, Kylian Mbappé has scored more goals in the knockout stages of the World Cup (11) than...

Brazil (10)
England (10)
Portugal (9)
Spain (4)

Relentless.
 
Kipa wa Paraguay amestahili
IMG_0759.jpeg
 
Back
Top Bottom