Morocco forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,121
- 6,879
“Tulifanyiwa fitina kutoka kwenye uongozi wetu. Hotel mbaya. Chakula kila mtu anajitegemea tunakula migahawani wengine wakiagizia kwa delivery. Tulikosa morali tangu mechi ya kwanza. Uongozi umetuhujumu na wananchi walijue hilo”View attachment 3620558
Hawajui mpira, bora hata ya congo walijitahidi
Halafu wasirudie tena kulinganisha Morocco na timu yoyote afrika, na kombe hawakuatahili kuchukua.