DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,946
- 11,387
Waafrika kitu pekee tunachokifanya perfectly kuliko vyote ni kutomb.a.na..
Bila kusahau alipokutana na Cape Verde..😃😃😃Mkuu naomba uniwekee rate za mechi zote ambazo Lamine Yamal alikutana na France,England, Portugal, Real Madrid,New Castle
Naomba uweke hapa!
Viongozi wanawasingizia game mnaongoza mbili bila mpaka dk ya 80 mnashindwa kufanya match management na kukaba, sasa sijui walitaka viongozi wakazuie.“Tulifanyiwa fitina kutoka kwenye uongozi wetu. Hotel mbaya. Chakula kila mtu anajitegemea tunakula migahawani wengine wakiagizia kwa delivery. Tulikosa morali tangu mechi ya kwanza. Uongozi umetuhujumu na wananchi walijue hilo”View attachment 3620558
Penado is back...This is what all men want todayView attachment 3620612
Spain 🇪🇸 watakua uwanjani kuwafundisha portugal namna ya kucheza mpira mzuriSpain vs austria
<<<<22:00>>>>
(Leo usiku)
Sio ya kukosa
Referee»Glenn nyberg
Stadium»Los angels
Mi mwenyewe naelekea huko. 🤣Afrika nabaki na Morocco tu mtani
😅😅 Ukimbie uzi kwa nini sasa rafiki.Me natamani ht nisiangalie huo mpira na hata huu uzi niukimbie kwa muda. Bado nina maumivu sana
Mjiandae kunizika siku spain au Argentina ikitolewa. Hapa tu bado jina trauma ya Amad Dialo😅😅 Ukimbie uzi kwa nini sasa rafiki.
Pole sana mie nilikuwa nawaza kama wewe kutokuangalia ila kijinafsi kinaniambia we tizama tu. 😅 Hivyo tutizame tu.
Wengine wanasoma Atlas na history wewe ulikua bize kusugua mbegu za ubuyu kwenye sakafu darasaniEh! kumbe au Austria na Australia mataifa mawili tofauti