2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

“Tulifanyiwa fitina kutoka kwenye uongozi wetu. Hotel mbaya. Chakula kila mtu anajitegemea tunakula migahawani wengine wakiagizia kwa delivery. Tulikosa morali tangu mechi ya kwanza. Uongozi umetuhujumu na wananchi walijue hilo”
IMG_0727.jpeg
 
🚨🇪🇸 Lamine Yamal: “I hope Portugal beats Croatia.” 🇵🇹

I still feel like I got some scores to settle with them... Or maybe it's just hunger to play the Best of the Best...

Bro just say you were born to take Revenge on Nuno Mendes, stop all these Left and Right

FB_IMG_1783003401700.jpg
 
“Tulifanyiwa fitina kutoka kwenye uongozi wetu. Hotel mbaya. Chakula kila mtu anajitegemea tunakula migahawani wengine wakiagizia kwa delivery. Tulikosa morali tangu mechi ya kwanza. Uongozi umetuhujumu na wananchi walijue hilo”View attachment 3620558
Viongozi wanawasingizia game mnaongoza mbili bila mpaka dk ya 80 mnashindwa kufanya match management na kukaba, sasa sijui walitaka viongozi wakazuie.
 
Kama Messi ni mtu humble sana kama watu wanavyomsifia basi game ya leo itakuwa nafasi nzuri kwake kututhibitishia.

Kama ana amini dhana ya kuiweka timu mbele, kwanini leo asianzie benchi ili kuwapa nafasi vijana wadogo nao waonyeshe ubora wao kwenye hii hatua muhimu?

Yes, kama tuzo binafsi kwake sio kipaumbele then this is the ideal moment to let others take the spotlight.
FB_IMG_1783012710762.jpg
 
Niliishabikia Ivory Coast ilipocheza na Norway. Ikafungwa

Niliishabikia Congo ilipocheza na England. Ikafungwa

Senegal nayo jana ikafungwa.

Sijui nina mkosi gani kwenye kila timu nayoshabikia.

Anyway, Leo nitaishanikia Spain aifunge Australia.
 
Back
Top Bottom