Hapa labda Misri, ila Algeria, Ghana, Cape Verde wote hawa wajiandae kurudi makwao.
June 16th: Lionel Messi goes unpunished for treading on an Algerian player's ankle
July 2nd: Folarin Balogun is given a straight red card for an identical challenge
Make it make sense.View attachment 3620321
😀 kalijua kanajua kumbe hakajui.😂😂😂😂 Katangazaji ka azam kalisema UTAANDIKA SANAAAA
😀😀 Hata Starling mwanzoni huwa anapigwa na jambazi. Lakini mwishoni lazima jambazi liuwawe.Kuna jamaa leo hii aliniambia kuwa watu weusi huwa akili yao inaishia kipindi cha kwanza tu cha mpira, baada ya hapo hamna kitu tena...naweza kukubaliana nae🤣
Wote wanakuja kuzidiwa mwishoni, tafauti na Morocco
Yaani! Ndo nimeona muda sio mrefu.Game za Ghana nyingi ni Usiku mnene.
Hii itakuwa 4:30 AM Usiku.
Dah haikus zali letu
Mkuu naomba uniwekee rate za mechi zote ambazo Lamine Yamal alikutana na France,England, Portugal, Real Madrid,New CastleTatizo kwenye World Cup hakuna Elche wala Alves
View attachment 3620335
Samahan broacha kuifananisha Morocco na vitu vya kijinga
Lengo ni nini?Mkuu naomba uniwekee rate za mechi zote ambazo Lamine Yamal alikutana na France,England, Portugal, Real Madrid,New Castle
Naomba uweke hapa!
Hata asingetolewa ni yale yale tu, naona hata zile goli waliwabahatisha tu, ni vile tu wameikuta belgium imechoka, sio ile ya akina hazard, origi, kompany, alderveireld, vermaelen, vertonghen, marouane fellain, dries martens, adnan januzaj. Wangekufa nyingi sana haoKosa kuu la kocha wa Senegal ni kumtoa Pape Gueye.
Algeria wanaweza kutoboa, wale sio ngozi nyeusi
Me natamani ht nisiangalie huo mpira na hata huu uzi niukimbie kwa muda. Bado nina maumivu sanaUsikae mbali na uzi
Afrika nabaki na Morocco tu mtani