Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,025
- 126,002
Hamna kwa sasa wanakwenda 16 bora. Robo bado.Sawa kabisa.
Baada ya kutinga robo
Hamna kwa sasa wanakwenda 16 bora. Robo bado.Sawa kabisa.
Baada ya kutinga robo
Nipo na nitakukumbusha.Usikae mbali na uzi
Yaani. Wamezingua sana wale Simba wa Teranga.Nilipata hasira nikapumzisha fuvu langu baada ya Belgium kurudisha goli 2 ndani ya dakika chacheee hapa ndo nmeamka niangalie mwisho walitokaje kwahizi koments sitafuti koments ya Full time wacha nikawashe moto nibandike zangu ndondo tu tule mapema.
Ni huzuniii
Cc Smart911
Hongera zako Mkuu. Mi nililala kama saa tatu kasoro kisha nikaamka saa tano.Kumbe na Senegal Jana walitoka kwa Mfumo ule ule.
Afadhali nililala tu. Sijutii usingizi Wangu.
Umdhaniaye ndiye kumbe siye Mkuu.Hao ndio wanapigika vibaya sana.
Wanajisahau tu hao bana. Wakijua washamaliza kila kitu.View attachment 3620305
Wataalamu wa numerology mje mtudadavulie hapa. Kunani dakika ya 86?
Halafu bana ujue sijawahi kuangalia mechi hata moja ya Ghana?Hizi Dakika Ghana tutafanya jambo
Hawavuki hao, siku ile Spain alijichanganya mwenyewe kwa kuwaingiza Lamine na Nico dk 70.Umdhaniaye ndiye kumbe siye Mkuu.
Wanaeza wakavuka.
Mm nilijua tayari wameshinda nikawa upande wao daaah. Sifanyi kosa hili tena....Nimeumia sana ila sio kama kwa IC, pole Gemini mateUnadhani! Mie nakubali kabisa wala sikupingi Gemini mwenzangu. 😅😅
Nilijikuta najuta kukaa macho. 🙃 inakera sana
Pole sana Gemini mate. 🤝Mm nilijua tayari wameshinda nikawa upande wao daaah. Sifanyi kosa hili tena....Nimeumia sana ila sio kama kwa IC, pole Gemini mate
View attachment 3620369
Kama usingizi vile ikifika saa 9 usiku mtu anakuwa hoi unaweza mbeba hata na kitandaView attachment 3620305
Wataalamu wa numerology mje mtudadavulie hapa. Kunani dakika ya 86?
Game za Ghana nyingi ni Usiku mnene.Halafu bana ujue sijawahi kuangalia mechi hata moja ya Ghana?
Hapa nashawishika hii mechi yao nifanye juu chini niwaangalie.
Karibu sana!Halafu bana ujue sijawahi kuangalia mechi hata moja ya Ghana?
Hapa nashawishika hii mechi yao nifanye juu chini niwaangalie.
Wacheza
Wachezaji wote walioenda Saudio Arabia wote viwango vimeshuka mwangalie Saidio Mane, Fabinho, Ronaldo, Frank Kessie nk
Ila Senegal wanautwanga kama Morocco aise
Senegal hawakubahatisha kuchukua ubingwa Afrika.