T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,778
- 46,577
Matokeo hayabadili kuwa Lukaku ni mchezaji wa kawaida pale mbele. Tatizo unamtazama anacheza na Wamatumbi.Angalia matokeo huko
Matokeo hayabadili kuwa Lukaku ni mchezaji wa kawaida pale mbele. Tatizo unamtazama anacheza na Wamatumbi.Angalia matokeo huko
Hapana wewe simama na Cape VerdeKwahilo hata Mimi nasimama na makobaz yan timu ni moroco tu
Mpila ndo ulivyo si swala la uAfrica, senegal wamecheza vzuri ila mpila umewahukumu hvyo, ila bado tusikate tamaa
Timu za Afrika ikifika dakika ya 85 achana nazo. Usijipe pressure.Ama kweli chizi hata aende mbali vp lazma atarudi na makopo
Nafikiri hata wenyewe hua wanajishtukia kua kumfunga mzungu ni kosa,ndio maana hua wanaregea kama tako la kahaba.Ila weusi sio wakuaminika bora nibaki na waarabu wangu🤣🤣
Muda wa kubishana Mkuu haupo tena.Amefunga Goli na kawapa timu yake nguvu.Tuendelee kumbezaMatokeo hayabadili kuwa Lukaku ni mchezaji wa kawaida pale mbele. Tatizo unamtazama anacheza na Wamatumbi.
Imebidi nicheke aisee🤣🤣Nafikiri hata wenyewe hua wanajishtukia kua kumfunga mzungu ni kosa,ndio maana hua wanaregea kama tako la kahaba.
Ubeligiji wabovu Senegal akikaza anaweza waondoa kwani timu anayo.
🤣🤣🤣Haya mateam ya Afrika yamekaa kama Boga tu,yanaharibikia ukubwani.
Yeye ni striker, sio kipa. Kwahiyo kufunga sio kitu cha ajabu. Angedaka hapo ndio ungekuwa mjadala. Hata Sarr kafunga, Diarra kafunga, Tielemans kafunga.Muda wa kubishana Mkuu haupo tena.Amefunga Goli na kawapa timu yake nguvu.Tuendelee kumbeza