Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,024
- 125,996
😅😅😅Simba wa Teranga🔥🔥
😅😅😅Simba wa Teranga🔥🔥
Sasa hivi nimekuwa mtu wa kuhama hama tu Mtani. 😅Mi chama langu ni Ufaransa.
Twende na Ufaransa mpaka fainali
Unadhani! Mie nakubali kabisa wala sikupingi Gemini mwenzangu. 😅😅
Uko sahihi Mkuu.Alieturoga amekufa....
Ghanaaa will futa you machoziUko sahihi Mkuu.
Laana ya asiliSenegal wakitolewa kama congo nitaamin ngozi nyeusi tuna laana
Hahahaaa. Oke. 😅😅Ghanaaa will futa you machozi
Tumeona makosa ya wenzetu! TutajirekebishaHahahaaa. Oke. 😅😅
Ngoja tuone japo inasikitisha katika timu 9 nne zimeshatoka. Lol.
Sa si bora wangejiondokea tu ile mwanzo mwanzo. 🙃
KIngine tunaridhika haraka.Senegal wakitolewa kama congo nitaamin ngozi nyeusi tuna laana
Hahahaa. Sawa Mkuu ntakutag siku hiyo.Tumeona makosa ya wenzetu! Tutajirekebisha
Sawa kabisa.Hahahaa. Sawa Mkuu ntakutag siku hiyo.
Nilipata hasira nikapumzisha fuvu langu baada ya Belgium kurudisha goli 2 ndani ya dakika chacheee hapa ndo nmeamka niangalie mwisho walitokaje kwahizi koments sitafuti koments ya Full time wacha nikawashe moto nibandike zangu ndondo tu tule mapema.KIngine tunaridhika haraka.
Yaani zile bao mbili Senegali waliziona kama 10 mwishowe mtu anazirudisha ndani ya dakika mbili. Lol.
Hao ndio wanapigika vibaya sana.Ndugu zangu Waafrika msiogope Ghana hatutawaangusha
Misri anaweza kukaza.Hawa waliobaki sijaona wakukaza atabaki morroco
Hivi ndivyo wanasiasa wa Africa huwapa raia wao matumaini😁😁Ndugu zangu Waafrika msiogope Ghana hatutawaangusha