Referee hataki janja2Nimempenda sana huyu Referee anavyochezesha
Itaenda 16 boraUnadhani congo ikipita itaenda wapi Shadeeya
Pole karibu Uajentinani basi mtani, huku kila mechi tunapiga hatrickMtani Greatest Of All Time mi timu yangu ishatoka ndipo nipo nipo tu ilimradi siku ziende. 🤣
Wacha akaze tuKuna namna ni fahari kuona pilau la africa mashariki linatikisa uko ila leo wakuuu congo ametuweka roho juu wawekezaji sitaki kuamini mpaka sasa
Labda la ujiKwamba England atabeba kombe 😄
Acha waende mbele, japo sec half sijajua kama kazaEngland the three lions ndio timu itakayoweza kumchallenge ufaransa au Argentina. Sasa hawa wakongo wapunguze sifa huko mbele ni pagumu zaidii.