Olise atafichwa stoey imeisha hapoHalafu ndio kile kijamaa chao Dembele kimepona, yaani kazi imeanza upyaaa.
Olise atafichwa stoey imeisha hapoHalafu ndio kile kijamaa chao Dembele kimepona, yaani kazi imeanza upyaaa.
KANE pamoja na kitambi chake lakini anashenyentaHalafu ndio kile kijamaa chao Dembele kimepona, yaani kazi imeanza upyaaa.
Nimegundua pia team za ulaya zinacheza kimkakati. Soka la Afrika limekaa kisiasa Sana.Vipaji wapi bwana mna wachezaji wa kawaida tuu
Tatizo la bayern wakipelekewa moto mfululizo mpk dakika za 70 wanakata pumzi, nadhani ulishuhudia jana.KANE pamoja na kitambi chake lakini anashenyenta
Hata ile game ya inter robo fainal Uefa walikata moto wakatolewa.Tatizo la bayern wakipelekewa moto mfululizo mpk dakika za 70 wanakata pumzi, nadhani ulishuhudia jana.
Inter hii game akitoboa uchawi upo.Fluminense anatangulia
Naona VAR imecancelInter hii game akitoboa uchawi upo.
Kashawekwa cha pili huku.
Hapa ulikuwa unamshauri nani?Wajenge viwanja vya kufunika sasa.
Watie cooling system kali
Sema hawa wabrazil wasipokula umeme sidhaniNaona VAR imecancel
Ah wapi hii tournament isitudanganye jameni...waarabu wanakuwa na wachezi bwana.Nimegundua pia team za ulaya zinacheza kimkakati. Soka la Afrika limekaa kisiasa Sana.
Waarabu ambao huwa tunawaogopa wamepigwa kama timu ya zimanimoto ya Songea.
Ngoja tukukute huko njiani AK4 PSGNasimama na timu za Ujerumani popote zitakapoishia panatosha.
#Bayern Munchen
#Borussia Dortmund
Boca ndio vinabo kabisasaa wee wenzio wamemkandika furushi la magoli yule kibonde eti wao wanamfunga kimokoHadi Sasa Brazil Ina uwakilishi mkubwa kwenye top 8 na huenda wakafika top 4 wanajiamini sana hawachezi kama underdog
Argentina ni kelele tu za Simba na Yanga (Boca na river plate)