Chama langu al hilal linazizi kupeta tu kudafek 😁😁Nimepata timu ya kushabikia AL HILAL
USAHapa ulikuwa unamshauri nani?
Nimefurahi sana
Nakazia nina jamaa yangu shabik wa man city kapoaNimefurahi sana
Watakuja kuitetea man citywale ambao wamekuwa wakiponda ligi ya Saudi wako wapi?
😃😃😃Nakazia nina jamaa yangu shabik wa man city kapoa
we tokea 5imba wafungwe umewasikia wakiongea tena!Nakazia nina jamaa yangu shabik wa man city kapoa
Hizo mbinu za mpira tactic na technic za mpira huyo PSG wenu mtamkataa tu japo hata sisi bayern kuna tunapwaya sana hasa eneo mbele.Tatizo la bayern wakipelekewa moto mfululizo mpk dakika za 70 wanakata pumzi, nadhani ulishuhudia jana.
Tumia FAWANEWS.SCmwenye live streaming aweke maana koora live wamezingua nw
Naona lwo juve kakaza tako sie mdebwedo kama ile aiku dhidi ya man cityMadrid vs Juve game ya moto sana
Camavinga ako wapi na mbapeNgoja tuone Alonso na mfumo wake wa 3-4-3 kama atapata mafanikio Real Madrid