AiseeWote wanatoka ulaya wanataka kuvushana
Wabongo ujuaji mwingi, kwahiyo kisa timu zote zilikua zinahitaji draw na game ikaisha draw basi zilipanga?Yani lipo wazi wazi,inaondoa validity ya mashindano.Hata matokeo ya Miami na palmeiras timu zilipanga
Leo haitakuwa n mvuto maana wote washafuzu.JUVENTUS vs MAN CITY hii ilitakiwa iwe mech ya kwanza kwenye kundi tumenyimwa raha
Man ashinde tu Leo hata kama amefuzu Ili kulipa kisasi.Maana amafungwa sana na Juve mbovu msimu wa UEFA uliopita.Leo haitakuwa n mvuto maana wote washafuzu.
Tena juve trip hii imeanza kurudi toka Igo Tudor alivyo ichukua timMan ashinde tu Leo hata kama amefuzu Ili kulipa kisasi.Maana amafungwa sana na Juve mbovu msimu wa UEFA uliopita.
Na mikeka pia itoe
Daaah ni kweli wanarudi aisee Juve,ngoja tusubiri.Jamani mkeka wangu!Tena juve trip hii imeanza kurudi toka Igo Tudor alivyo ichukua tim
Wanajua show ya KELVIN THRUAMKwa mara ya kwanza katika michuano hii rodri na dias wameanza.
Position kwenye group inaamua opponent wa Round of 16 hivyo game itakuwa ya kuviziana sana! naziona counter attack za kutosha.Leo haitakuwa n mvuto maana wote washafuzu.
Ligi sio tatizo lakini tatizo ni juve mbovu hata kwa fiorentina ilikula 5Italia hakuna ligi pale...😀😆😃😂
Walivyopigwa Inter Milan na PSG tuliwatetea, Sasa hii ya Leo😂😃😃😆😀