Hiki kitakuwa kituko cha mashindano,PSG draw
Atletico anashinda
PSG out.
Subiri juventus wanakujaKuna timu yoyote mpaka sasa haijaruhusu goli zaidi ya Man city na Palmeiras?
Yule tunadroo 0-0 sababu kikosi hakitakuwa strong tushavuka.Subiri juventus wanakuja
Atletico ana uhitaji wa matokeo namuona akitoboa japokuwa wa brazil wanajitafutia sokoWakuu, hii botafogo na Atletico mnaionaje
Palmeiras wanazingua33' FC Porto 1-1 Al Ahly
33' Inter Miami 1-0 Palmeiras
Wanapoteza sana nafasi ilitakiwa wawe na 6 sasahivi.Duh hiyo Alhly ikacheze ulaya afrika inatafuta nn!?
Maana hata uarabuni sio sehemu yao