Si kesho hii?Dortmund wanakiwasha saa ngapi?
Hiv hawa jamaa unawapata vizuri? Acha tusubiriHaina mvuto. Bayern atashinda goli nyingi
Boca hata wakifungwa haitakuwa kinyongeHiv hawa jamaa unawapata vizuri? Acha tusubiri
Leo wanna kipa haswaa yule wa game ya kwanza alikuwa paziaHuyu kipa alikuwa wapi 1st game?
Kijana mdogo sana.Leo wanna kipa haswaa yule wa game ya kwanza alikuwa pazia
Hapa Barcelona angeshiliki ingenoga Sana maana kama namuona psg anaenda kutwa ubingwa kirahisi tena kwa kutoa kipigo cha mmbwa mwizi cha Kwanzia gori 3 kwenda mbele Bora Barcelona angeshiliki kidogo tungeshuhudia mechi moja kali
Umeona alichofanywa jana? Yupo matatani kuingia hatua inayofuataHapa Barcelona angeshiliki ingenoga Sana maana kama namuona psg anaenda kutwa ubingwa kirahisi tena kwa kutoa kipigo cha mmbwa mwizi cha Kwanzia gori 3 kwenda mbele Bora Barcelona angeshiliki kidogo tungeshuhudia mechi moja kali
Humu Wengi Hata Mechi Hawatazami, Eti PSG Atachukua Kombe Kirahisi 😀Umeona alichofanywa jana? Yupo matatani kuingia hatua inayofuata
😃😃😃 kuna timu watu wana zi underateHumu Wengi Hata Mechi Hawatazami, Eti PSG Atachukua Kombe Kirahisi 😀