1786 kulikua na shreia na taratibu za kufuata ukichukua chumba Guest House

Naluelewa mkuu. Nilisoma shule nzuri sana kwa kweli, nadhani inaendana na IST :D:D. Darasani tukiwa 30 tunaonekana wengi sana. Aina ya shule nnayotamani wanangu wasome pia. Wanafunzi wanachochewa kuwa wabunifu. Walimu wanafundisha kwa nia na kujadiliana na wanafunzi, siyo kufoka foka na fimbo. Ubunifu unapewa kipaumbele na kila somo linaumuhimu sawa na lingine siyo yale mambo ya 'sciences ni bora kuliko arts' na kila mwanafunzi anaaminishwa atatoboa katika sekta yoyote apendayo. Library ina vitabu kama vyote so nilikuwa nashinda huko nasoma kila topic niipendayo kuanzia wanyama na samaki, hollywood film industry hadi shakespeare (hii yote ni kujisomea mwenyewe siyo kusukumwa usome).

Pia ulikuwa na kipindi kinaitwa 'library' kama nakumbuka vizuri. Darasa zima linaenda library na kazi ya mwanafunzi hapo ni kuchagua kitabu chochote na kujisosomea kwa dk. 30 - 60. Ukikutwa huna kitabu unakula adhabu. Wa kusoma 'sungura na fisi', haya. Wa kusoma 'quantum physics' haya...mwisho wa siku mwanafunzi anajikuta anajua mengi na naamini inaboresha maisha yake ndani na nje ya nafsi yake. Inamsaidia mwanafunzi kutambua ni nini anapenda na inamsaidia kuamua mapema anataka kufuata taaluma gani baadae. Na wanajifunza kufikiria 'nje ya box'.

Suala la shule za vijijini na hali zake linanisikitisha mpaka leo na katika michango yangu midogo ya kijamii, nachangia kwenye elimu.
Kuuuuumbe unaona sasa?? yaani mie niliosoma nao huko woote? hakuna hata mmoja aliwahi shinda kwenda seco. ni mimi tuu! na nilipo kanyaga sec. tu maisha yalikuwa murua sana!! wkt wanafunzi wanagomea msosi niliwalaumu kimoyomoyo sana!

Ok! nikamaliza sec. bana nikaenda chuo cha sirikali maweeee!! yaani nilitamani hata kubaki hapo chuoni maisha yote! yaani maisha swafiiiii!! ever seen before kabisa! tena wanakupa na cha juu!! Loool! nkasema hapa hapa! unakuwa afisa halafu dent!

tatizo lao kubwa bana hapo shuleni!! sana uki fail!! bana wee unarudishwa tuuuu!! tena faster! utake usitake! .... inauma sana unaweza ukanywa sumu!

kila nilipopiga hatua mbele palikuwa ni bora ya zaidi ninakotoka!! kusema kweli nilirudi kijijini lkn siyo kiviiile!..... jamani shule za mbele tamu sana! ni kwa vile watu hawajui tu!
 
Kuuuuumbe unaona sasa?? yaani mie niliosoma nao huko woote? hakuna hata mmoja aliwahi shinda kwenda seco. ni mimi tuu! na nilipo kanyaga sec. tu maisha yalikuwa murua sana!! wkt wanafunzi wanagomea msosi niliwalaumu kimoyomoyo sana!

Ok! nikamaliza sec. bana nikaenda chuo cha sirikali maweeee!! yaani nilitamani hata kubaki hapo chuoni maisha yote! yaani maisha swafiiiii!! ever seen before kabisa! tena wanakupa na cha juu!! Loool! nkasema hapa hapa! unakuwa afisa halafu dent!

tatizo lao kubwa bana hapo shuleni!! sana uki fail!! bana wee unarudishwa tuuuu!! tena faster! utake usitake! .... inauma sana unaweza ukanywa sumu!

kila nilipopiga hatua mbele palikuwa ni bora ya zaidi ninakotoka!! kusema kweli nilirudi kijijini lkn siyo kiviiile!..... jamani shule za mbele tamu sana! ni kwa vile watu hawajui tu!
Hongera mkuu.

Tunahitaji kujitahidi sana tu kama taifa kuboresha shule zetu na kiwango cha elimu tunayotoa.
 
Kuuuuumbe unaona sasa?? yaani mie niliosoma nao huko woote? hakuna hata mmoja aliwahi shinda kwenda seco. ni mimi tuu! na nilipo kanyaga sec. tu maisha yalikuwa murua sana!! wkt wanafunzi wanagomea msosi niliwalaumu kimoyomoyo sana!

Ok! nikamaliza sec. bana nikaenda chuo cha sirikali maweeee!! yaani nilitamani hata kubaki hapo chuoni maisha yote! yaani maisha swafiiiii!! ever seen before kabisa! tena wanakupa na cha juu!! Loool! nkasema hapa hapa! unakuwa afisa halafu dent!

tatizo lao kubwa bana hapo shuleni!! sana uki fail!! bana wee unarudishwa tuuuu!! tena faster! utake usitake! .... inauma sana unaweza ukanywa sumu!

kila nilipopiga hatua mbele palikuwa ni bora ya zaidi ninakotoka!! kusema kweli nilirudi kijijini lkn siyo kiviiile!..... jamani shule za mbele tamu sana! ni kwa
Kuuuuumbe unaona sasa?? yaani mie niliosoma nao huko woote? hakuna hata mmoja aliwahi shinda kwenda seco. ni mimi tuu! na nilipo kanyaga sec. tu maisha yalikuwa murua sana!! wkt wanafunzi wanagomea msosi niliwalaumu kimoyomoyo sana!

Ok! nikamaliza sec. bana nikaenda chuo cha sirikali maweeee!! yaani nilitamani hata kubaki hapo chuoni maisha yote! yaani maisha swafiiiii!! ever seen before kabisa! tena wanakupa na cha juu!! Loool! nkasema hapa hapa! unakuwa afisa halafu dent!

tatizo lao kubwa bana hapo shuleni!! sana uki fail!! bana wee unarudishwa tuuuu!! tena faster! utake usitake! .... inauma sana unaweza ukanywa sumu!

kila nilipopiga hatua mbele palikuwa ni bora ya zaidi ninakotoka!! kusema kweli nilirudi kijijini lkn siyo kiviiile!..... jamani shule za mbele tamu sana! ni kwa vile watu hawajui tu!
Ulitaka usome milele? 😆😆
 
Ulitaka usome milele? 😆😆
nilitamani mkuu iwe ivo yaani huko mbele ilikuwa raha sana halafu sikujua ivo nilivo vikuta huko!!
kwanza huchapwi!! sijui kuwahi number, hkna hiyo!!angalia primary sasa mara fyekeo ,sijui jembe,

elimu ya kujitegemea, mara mkalime unachafuka, mara unyeshewe,kufyeka, mara sijui michezo hovyo tu huko michezoni huna hela, daaa! mara umande umetanda njiani mimajani hii, mara matope njiani, kuchotea waalimu maji, kupalilia shamba la kijiji/mwalimu, pekupeku siku zote! vyooo viichafuuuu! af peku! ajabu ya Mungu hatukuwahi ugua minyoo wala surua!

mbaya zaidi shule iko mbali unapiga deshi lunch time, huna hela ya kununua japo kamuwa yaani full shida! halafu hujui kwa nini unasoma ili iweje? yaani tulienda tu kukwepa kazi nzito back home! kama kuchunga ng'ombe ambao huna nao faida bana weee hiii!

Lkn huko mbele hayo yooote ilikuwa ni hadithi za abunuwasi! hata sometimes niliwaza km nikienda home wanaweza badirisha kibao ''wewe kusoma tuu kaa hapa! tulime!..... ilinitisha hii! so nikawa some times naunganisha hukohuko school!
 
nilitamani mkuu iwe ivo yaani huko mbele ilikuwa raha sana halafu sikujua ivo nilivo vikuta huko!!
kwanza huchapwi!! sijui kuwahi number, hkna hiyo!!angalia primary sasa mara fyekeo ,sijui jembe,

elimu ya kujitegemea, mara mkalime unachafuka, mara unyeshewe,kufyeka, mara sijui michezo hovyo tu huko michezoni huna hela, daaa! mara umande umetanda njiani mimajani hii, mara matope njiani, kuchotea waalimu maji, kupalilia shamba la kijiji/mwalimu, pekupeku siku zote! vyooo viichafuuuu! af peku! ajabu ya Mungu hatukuwahi ugua minyoo wala surua!

mbaya zaidi shule iko mbali unapiga deshi lunch time, huna hela ya kununua japo kamuwa yaani full shida! halafu hujui kwa nini unasoma ili iweje? yaani tulienda tu kukwepa kazi nzito back home! kama kuchunga ng'ombe ambao huna nao faida bana weee hiii!

Lkn huko mbele hayo yooote ilikuwa ni hadithi za abunuwasi! hata sometimes niliwaza km nikienda home wanaweza badirisha kibao ''wewe kusoma tuu kaa hapa! tulime!..... ilinitisha hii! so nikawa some times naunganisha hukohuko school!
hahaha. mwanafunzi anapendelea kubaki shule wakati wa likizo kuliko kurudi nyumbani :D:D. nilizoea wanafunzi kuangalia kalenda na kuhesabu siku zilizibaki mpaka shuke ifungwe tena, kuanzia wiki ya kwanza ya muhula :D:D
 
hahaha. mwanafunzi anapendelea kubaki shule wakati wa likizo kuliko kurudi nyumbani :D:D. nilizoea wanafunzi kuangalia kalenda na kuhesabu siku zilizibaki mpaka shuke ifungwe tena, kuanzia wiki ya kwanza ya muhula :D:D
yaaani wee acha tu
 
Back
Top Bottom