Msaada: Unaweza kufuata hatua gani kisheria ikiwa mwajiri halipi mshahara?

gaintoo broisser

JF-Expert Member
Sep 29, 2016
307
378
Habari za jioni wanajamii, mimi ni mzima wa afya ninahitaji Ushauri kwenu wana JF.

Hivi hatua zipi za kisheria unaweza kufata ikiwa mwajiri halipi Mshahara?

Mimi nafanya kazi kwenye taasisi moja ambayo inasumbua sana kwenye malipo, unakuta Mishahara ya miezi 6 hawajalipa. Siku moja nilienda kuswap kadi yangu ya NSSF nilipofika nikafanya taratibu zote, wakaniambia nafanya wapi kazi ndio nikawaelekeza nafanya kzi kwenye kampuni x.

Wakasema duh, huyo boss anasumbua sana kama wewe unamwaka sasa hajaweka pesa zako wasaidizi wake tuliwaweka ndani kuhusu suala hilohilo sasa tutamtaifisha mali zake aje ajute na kama sisi anatusumbua hivyo vipi nyie mnaofanya kazi hapo?

Nami nikasema hawatulipi mishahara kabisa sasa tunawadai miezi mitatu, nilikuwa moja ya NSSF House.

Nahitaji njia za kufuata kupata haki yangu au taasisi inayoweza kunisaidia, mabosi wapo tayari akudhulumu laki 8 akahonge mahakamani milioni 20.

Msaada au kama taasisi hizo zipo humu naombeni mzitag tupate maarifa. Baadhi ya mabosi wanasema nenda kashitaki popote utaambulia patupu! Inauma.

Najua wapo wengi humu wenye changamoto kama hiyo humu.

@nssftz , TRA Tanzania Tanzania Nchi Yetu Sote
 
Omba Moderator wakuwekee kichwa kizuri za uzi, hiyo @everyone inatumiwa facebook na sio hapa jf.

Facebook ukiweka hiyo ndo kila mtu anakua tagged ila jf haiko hivyo, weka kichwa kizuri upate msaada wa haraka.

Moderator msaidieni kijana.
 
Habari za jioni wanajamii, mimi ni mzima wa afya ninahitaji Ushauri kwenu wana JF.

Hivi hatua zipi za kisheria unaweza kufata ikiwa mwajiri halipi Mshahara?

Mimi nafanya kazi kwenye taasisi moja ambayo inasumbua sana kwenye malipo, unakuta Mishahara ya miezi 6 hawajalipa. Siku moja nilienda kuswap kadi yangu ya NSSF nilipofika nikafanya taratibu zote, wakaniambia nafanya wapi kazi ndio nikawaelekeza nafanya kzi kwenye kampuni x.

Wakasema duh, huyo boss anasumbua sana kama wewe unamwaka sasa hajaweka pesa zako wasaidizi wake tuliwaweka ndani kuhusu suala hilohilo sasa tutamtaifisha mali zake aje ajute na kama sisi anatusumbua hivyo vipi nyie mnaofanya kazi hapo?

Nami nikasema hawatulipi mishahara kabisa sasa tunawadai miezi mitatu, nilikuwa moja ya NSSF House.

Nahitaji njia za kufuata kupata haki yangu au taasisi inayoweza kunisaidia, mabosi wapo tayari akudhulumu laki 8 akahonge mahakamani milioni 20.

Msaada au kama taasisi hizo zipo humu naombeni mzitag tupate maarifa. Baadhi ya mabosi wanasema nenda kashitaki popote utaambulia patupu! Inauma.

Najua wapo wengi humu wenye changamoto kama hiyo humu.

@nssftz , TRA Tanzania Tanzania Nchi Yetu Sote

Taabu zaidi ni unaposhindwa kufahamu kuwa mshahara wako ni % ya unachozalisha na muda wote unaoonekana busy MMU.
 
Back
Top Bottom