Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru , Julius Mtatiro amehamishiwa Shinyanga baada ya kipindi kirefu kuhudumu Tunduru.
Tunamshukuru kwa Utumishi wake uliotukuka uliosaidia kupunguza watoto kuingizwa kwenye Jando na unyago.
Ila tunamuomba asirudie kuzindua Vitu kama hivi.
KILASILO GUEST HOUSE INAUZWA
Specifications;
9 rooms self contained zote
Fence eneo lote + gate
840m² eneo
Kisima (120m) maji muda wote
Dawasco pia maji yapo
Kutoka barabara kuu ni 600M
LOC: MADALE MWISHO
Bei 135M (Maongezi Yapo)
Mawasiliano 0748 270 719
Habari wana Jamii,
Ninatafuta mtu anayeweza kuendesha nyumba ndogo ya wageni iliyoko mjini Mwanza, maeneo ya Buswelu. Mwombaji kazi awe na elimu na uzoefu katika mambo ya biashara na kompyuta (kwa ajili ya uendeshaji wa biashara hiyo na kuitangaza katika majukwaa tofauti tofauti likiwemo la...
A policeman Stewart Saiba(40) force number Pf 18530 died at Mrina Shine guest house in Arusha.Saiba came to the guesthouse at midnight accompanied by a young woman.He recorded his details in the visitors book and he was given room number 5.He was carrying a bag and a walkie talkie. According to...
Tangazo hili limekaa Kwa option zote mnunuzi au muendeshaji
Guest house ipo Kata ya Minazi mirefu Kiwalani, wilaya ya Ilala Jiji ipo katika hali nzuri kabisa ina vyumba 10 self, maji ya Dawasa na ya visima virefu connected, eneo ukubwa ni square meter 400.
Kwa mnunuzi offer ni million 60...
Huyu jirani yangu tunaheshimiana sana yaani katika watu safi hapa kitaa ni huyu jirani yangu, maisha safi Hana njaa na ni mtu tunapeana advice ya hapa na pale yaani Kwa kifupi jamaa ni mtu mmoja cool sana.
Jana nimekutana na jamaa tumeongea mengi sana na alinambia anataka kujenga shopping mall...
Wataalam wa minyanduo, wale wanaopenda kunyandua spring chicken, tule tutoto tubichiiii, wale wanaochapa wake wa watu, na wale wote wanaoona usalama wao ni mdogo wakati wa majamboz, Airbnb ndio mpango mzima.
Ingia zako tu mtandaoni, tafuta nyumba ya uwezo wako nenda kale maisha.
Wakuu nimepata ka-trip kuelekea Zanzibar, katika kutembea kwang kote, sijawahi fika Zanzibar, hii ni mara ya kwanza, sasa naomba kujuzwa mahali pazuri pa kufikia (pasiwe gharama sana) sehemu za kwenda kupata kilaji na ku enjoy na totoz, kwa anayefahamu please ningeomba ange-share hapa nipate...
Habari wasakaji wa ajira,
Kuna CHIMBO LA kulala , maeneo ya Nyerere square, Karibu na msikiti wa Nungwi...
Bei ni 13000/= ila vitanda viko viwili , mkiwa wawili mnachanga 6,500/=......
Location ni hiyo alama ya bluu.
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Kasanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Michael Royan (31) anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu katika nyumba ya kulala wageni ya ‘gesti’ iliyopo Manispaa ya Sumbawanga mkoani humo.
Akizungumzia tukio hilo leo Jumanne Novemba 29, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani...
askari Polisi wa kituo cha kati cha Dar es Salaam (jina kapuni) amekutwa amejiua kwa kujinyonga katika nyumba ya kulala wageni.
Askari huyo kabla ya kujitoa roho aliacha jumbe mbali mbali mojawapo ni kudai kuwa "maisha hayana maana"
Askari huyo alijaribu kujizuia kujiua mara kadhaa lakini...
Habari za asubuhi wapendwa?
Next week nina safari ya kwenda Shinyanga mjini, Sasa kwa wenyeji wa mji huu naomba mniambie sehemu nzuri ya kulala (Guest house), ya bei ya kawaida lakini pawe na huduma za msosi na vinywaji, sehemu ambayo naweza kupunguza stress za maisha na safari.
Nyumba ya wageni ikiwa kwenye location nzuri, penye shughuli za kibiashara, ni biashara iitakayo kuingizia pesa ya kula hata na ya ada ya watoto.
Sikuhizi watu wanapenda vyumba ensuite, hivyo uwe na uhakika wa kupata maji. Maji yakikosekana fanya jitihada ya kujaza matank ya akiba.
Kuna...
Mara Nyingine number 13 watu huichukulia kama namba ya mkosi ,
Lakini tunajiuliza sana kwanini watu huchukulia namba 13 kama namba ya mkosi, yanayosemwa yana maana kubwa sana ndio maana leo hii katika
1.Hotel kubwa za kimataifa ukiangalia vyumba vyote kwa namba ukifika namba 12 wanairuka namba...
Heshima kwenu washikadau
Embu kwa wenye uzoefu tutajiane Guest House za bei nafuu kwa hapa Dar hasa maeneo ya Sinza na Manzese na hata maeneo mengine
Bei kuanzia 10k,15k au 20k
Karibuni
Kichwa cha uzi kiko wazi!
Nimepata teteleko la kimaisha upande wa uchumi. Naombeni mnitajie Nyumba za kulala wageni kwa pesa kiasi cha shilingi elfu nne au chini ya hapo kwa hapa Dar!
Asanteni!
Mwenye kibarua naomba tuwasiliane pia.
Guest house inauzwa buguruni sokoni.
Zipo 2, zote zinauzwa million 120.
Zote zina vyumba zaidi ya 9 some self contained some not.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na simu namba, 0742930901 au 0754677838
Unaweza wasiliana na mwenye guest directly kwa simu namba 0767234545 KIGOMA GUEST HOUSE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.