zitto kabwe

Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe (Zitto Kabwe)
Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe, maarufu kama Zitto Kabwe, ni mwanasiasa kutoka Tanzania kutoka chama cha ACT-Wazalendo. Zitto aliwahi kuwa mwanachama wa Chama Demokrasia na Mendeleo (CHADEMA) toka mwaka 1992 mpaka 2015 alipoachana na chama hicho.

Zitto ameshika nafasi ya Kiongozi wa Chama ACT-Wazalendo kwa miaka 9, mpaka March 2024 ambapo nafasi hiyo imechukuliwa na Dorothy Semu. Amewahi kuwa Mbunge wa Tanzania kwa vipindi viwili kuanzia 2005 mpaka 2015 akiwakilisha Jimbo la Kigoma Kaskazini.
  1. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Wakuu! Vipi ili tangazo la Salimu Kikeke na Zitto Kabwe

    Hii ni sehemu sahihi ya kuwekeza, au ni upigaji mpya. ================= Ufuatiliaji uliofanywa na JamiiCheck kwa kutumia utafutaji wa maneno muhimu (Key word search) umejiridhisha kuwa video hiyo imepotoshwa kutoka kwenye video halisi ambayo ni sehemu ya matangazo mbashara ya kipindi cha...
  2. Heparin

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Mrema ajisahau kubadili Akaunti ya X, atumia ya CHAUMMA kumtolea povu Zitto Kabwe. Asema ACT ipo kata 2 tu Tanzania Bara

    John Mrema amejisahau kubadili Akaunti ya X, ametumia ya CHAUMMA kumtolea povu Zitto Kabwe. Amesema Zitto Kabwe ameshindwa kukuza chama cha ACT, kwa Tanzania bara kipo kata 2 tu za Tunduru na mojawapo ipo Kigoma. Haya yanajiri baada ya Zitto Kabwe kuwakaribisha wanachama wa vyama vingine...
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mahubiri ya Gwajima yamuibua Zitto Kabwe akichukizwa na mauaji ya watoto na raia wasio na hatia huko Gaza!

  4. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM Arusha yapinga madai ya kuifadhili CHAUMMA, Yasema kama ni kuiua CHADEMA ingewekeza nguvu kwa Zitto Kabwe

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu Mwenezi wake wa Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey, kimepinga vikali madai yanayoenezwa mitandaoni kuwa kinakiwezesha Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), hususan kiuchumi. Baadhi ya watumiaji wa mitandao wamehoji chanzo cha fedha za CHAUMMA na kasi ya...
  5. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe afunguliwa kesi na Harbinder Singh kisa sakata la IPTL

    Kiongozi Mkuu mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa zamani Zitto Kabwe amefunguliwa Kesi na Harbinder Singh Seth akidaiwa kumkashifu mfanyabiashara huyo na kumvunjia heshima mbele ya jamii Akizungumza na wanahabari leo Zitto Kabwe amesema kuwa kesi hiyo imetokana na yeye kuzungumzia...
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini Zitto Kabwe anataka watu wapoteze muda kujadili viporo vya IPTL/ESCROW wakati huu?

    Ni kwamba Zitto Kabwe hajui wazi hakuna mtu mwenye akili timamu mwenye muda wa kufuatilia tena na IPTL/ESCROW nyakati hizi, hakuna mtu mwenye akili timamu atakayefuatilia suala ambalo inajulikana hakuna pesa zilizokwapuliwa zinazoweza kurujeshwa tena au mtu yeyote aliyekwapua atakayewajibishwa...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe anatoa tamko, asema Seth amemfungulia kesi, atakiwa kulipa bilioni kadhaa

    https://www.youtube.com/watch?v=lWxel_pUiVk Kiongozi Mkuu mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa zamani Zitto Kabwe amefunguliwa Kesi na Harbinder Singh Seth akidaiwa kumkashifu mtu huyo na kumvunjia heshima mbele ya jamii. Akizungumza na wanahabari leo Zitto Kabwe amesema kuwa kesi...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Baba Levo ajitosa Ubunge Kigoma, anajiweza kweli kuchuana na Zitto Kabwe?

    Aloooo, kweli uchawa unaenda kuharibu nchi, na kimasihara anaweza 'kumshinda' Zitto🤣🤣 kama jinsi wagombea 'walivyoshinda' viti 2020! Wana Kigoma tutawashangaa sana kura zikienda kwa chawa, itabudi tuingie kwenye rekodi ya Guiness ya kuwa wapumbavu wa Dunia! === Msanii na Mtangazaji maarufu...
  9. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tetesi: G 55 Destination yao ilikuwa ni ACT kwa makubaliano ya Zitto Kabwe na Prince Abdul wa Jorodan, Ila wenzake wakapinga vikali kwamba ndani ya Chama

    Hawa G55 chini ya ufadhili wa Prince Abdul walikuwa wajoin ACT Wazalendo na makubaliano yalisha fikiwa kabisa. Mwami Zitto ndie alikuwa Broker wa hili jambo na hajafanya bure hakuna kazi ya Bure. Ndani ya ACT ikatokea upinzani mkubwa sana kwamba hadi sasa umage ya Chama inasoma negative na...
  10. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe sio wa kumuamini, alisema atagombea Urais iweje akachukua fomu ya Ubunge?

    Takribani mwaka mmoja uliopita, May 6, 2024 Zitto Kabwe alituambia kuwa amejiandaa kuwa Rais na maana yake angegombea mwaka huu. Imekuaje akabadili gia angani? Huyu sio wa kumuamini hata kidogo!
  11. F

    JamiiForums Tanzania Ya Zitto Kabwe kugombea ubunge, je kaambiwa ataachiwa jimbo? Kwanini serikali na polisi wanamuonea Mdude Nyagali? Amekosa nini?

    Yaliyotokea wiki hii...Mdude alivamiwa na polisi akiwa amelala na mkewe, akapigwa sana bila kosa na kuchukuliwa kupelekwa kusikojulikana. Kwa maelezo ya mkewe, Waliomchukua ni polisi na kutokomea naye, walimpiga kichwani na kitu kizito na akapoteza damu nyingi. Uwezekano wa kupona ni mdogo sana...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zitto Kabwe: Tangu 2019 uchaguzi una mashaka, mwaka huu tupo kupambana, si kususa

    Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tangu mwaka 2019 kumekuwa na mashaka makubwa kwenye uchaguzi, na kwamba chama hicho kimeamua kushiriki mwaka huu ili kupambana kulinda kura kuliko kususa ambako hakubadilishi kitu. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zitto Kabwe achukua Fomu ya Ubunge Kigoma Mjini

    Kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, leo Jumapili amechukua rasmi fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia chama hicho. Zitto amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Jimbo, Ndugu Idd Adam, katika tukio lililoshuhudiwa na wafuasi na viongozi wa chama hicho...
  14. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zitto Kabwe tunakuomba utuambie sisi WanaJF Wenzako namna unavyoweza kushinda Ubunge kwa Tume Hii ambayo inawajibika kwa Mwenyekiti wa CCM

    Hoja yangu nimeileta kwa Wema tu, hasa nikikumbuka ya 2019, 2024 na nikurudishe pia 2020 ambapo uligombea lakini Aliyetangazwa kushinda Ubunge wa Kigoma Mjini ni Kirumbe Ng'enda wa CCM kwa matokeo ya uongo yaliyopangwa na Mamlaka. Nini kimebadilika leo ambapo umechukua tena fomu ya kugombea...
  15. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Zitto Kabwe asema CHADEMA imekufa kisiasa

  16. Jackbauer

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zitto Kabwe kuchukua fomu kugombea Ubunge Kigoma Mjini

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kesho Mei 04, 2025 atachukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama hicho kumteua kuwa Mgombea wa Jimbo la Kigoma Mjini ambapo akishachukua fomu ataongea pia na Wananchi wa Kata ya Bangwe. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
  17. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Miaka 15 niliyokuwa mbunge Wizara ambazo mijadala ya bajeti huwa ni vita ni Wizara ya Nishati, Mwaka huu imepitishwa bila mikwaruzano

    Katika muda wa miaka 15 niliyokuwa mbunge miongoni mwa Wizara ambazo mijadala ya bajeti huwa ni vita ni Wizara ya Nishati tangu wakati inaitwa Nishati na Madini. Mwaka huu naona bajeti imepitishwa bila mikwaruzano yeyote. Nilipata kusema huko nyuma kuwa Waziri Dotto Biteko ni 'Simba mwendapole'...
  18. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI Nape Nnauye anasema mwaka 2018 wabunge wa upinzani hawakuwahi kutetea zao la Korosho bungeni Isipokuwa Zitto Kabwe

    Wakuu, Mbunge wa jimbo la Mtama Nape Nnauye hivi karibuni nimemsikia akisema akisema mwaka 2018 yeye na wabunge wenzake wa mikoa ya kusini walisimama kutetea zao la korosho bungeni, Pia akitaja mtu anayemuita mjomba pamoja na Lema na wenzake hawakuwa watetezi wa korosho na kwamba leo wakijifanya...
  19. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Singh Seth kuendelea kudai kumiliki IPTL na kuisumbua Serikali na TANESCO ni utapeli wa wazi, anakiuka 'Plea Bargain'

    Jana Mjadala wa suala la IPTL kupitia Jamii Media JamiiForums umezuiwa kwa hoja kwamba jambo lipo mahakamani. Sikubaliani na tafsiri hiyo ya jambo kuwa mahakamani kwamba lisijadiliwe. Jambo hili ni la Umma, limeibuliwa na CAG, lazima lijadiliwe. KWANZA naunga mkono msimamo wa uongozi wa...
  20. F

    JamiiForums Tanzania Nini sababu iliyomfanya Zitto kabwe kupinga ujenzi wa bwawa la rufiji JNHPP na kutaka Tanzania itumie Umeme wa gesi ,je alipewa rushwa na wenye gesi ?

    Hii video inamuonesha zitto kabwe akipinga kwa nguvu ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP, zitto kabwe alikuwa anataka tanesco wazalishe umeme 2100 MW kwa kutumia gesi asilia, zitto alisema maji hayatajaa kwenye bwawa la JNHPP maana uwezo wa maji kwenye mto umepungua kwa asilimia 47, cha...
Back
Top Bottom