zitto kabwe

Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe (Zitto Kabwe)
Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe, maarufu kama Zitto Kabwe, ni mwanasiasa kutoka Tanzania kutoka chama cha ACT-Wazalendo. Zitto aliwahi kuwa mwanachama wa Chama Demokrasia na Mendeleo (CHADEMA) toka mwaka 1992 mpaka 2015 alipoachana na chama hicho.

Zitto ameshika nafasi ya Kiongozi wa Chama ACT-Wazalendo kwa miaka 9, mpaka March 2024 ambapo nafasi hiyo imechukuliwa na Dorothy Semu. Amewahi kuwa Mbunge wa Tanzania kwa vipindi viwili kuanzia 2005 mpaka 2015 akiwakilisha Jimbo la Kigoma Kaskazini.
  1. Waufukweni

    PreGE2025 Baba Levo ajitosa Ubunge Kigoma, anajiweza kweli kuchuana na Zitto Kabwe?

    Aloooo, kweli uchawa unaenda kuharibu nchi, na kimasihara anaweza 'kumshinda' Zitto🤣🤣 kama jinsi wagombea 'walivyoshinda' viti 2020! Wana Kigoma tutawashangaa sana kura zikienda kwa chawa, itabudi tuingie kwenye rekodi ya Guiness ya kuwa wapumbavu wa Dunia! === Msanii na Mtangazaji maarufu...
  2. BLACK MOVEMENT

    PreGE2025 Tetesi: G 55 Destination yao ilikuwa ni ACT kwa makubaliano ya Zitto Kabwe na Prince Abdul wa Jorodan, Ila wenzake wakapinga vikali kwamba ndani ya Chama

    Hawa G55 chini ya ufadhili wa Prince Abdul walikuwa wajoin ACT Wazalendo na makubaliano yalisha fikiwa kabisa. Mwami Zitto ndie alikuwa Broker wa hili jambo na hajafanya bure hakuna kazi ya Bure. Ndani ya ACT ikatokea upinzani mkubwa sana kwamba hadi sasa umage ya Chama inasoma negative na...
  3. Meja Jenerali Isamuhyo

    Zitto Kabwe sio wa kumuamini, alisema atagombea Urais iweje akachukua fomu ya Ubunge?

    Takribani mwaka mmoja uliopita, May 6, 2024 Zitto Kabwe alituambia kuwa amejiandaa kuwa Rais na maana yake angegombea mwaka huu. Imekuaje akabadili gia angani? Huyu sio wa kumuamini hata kidogo!
  4. F

    Ya Zitto Kabwe kugombea ubunge, je kaambiwa ataachiwa jimbo? Kwanini serikali na polisi wanamuonea Mdude Nyagali? Amekosa nini?

    Yaliyotokea wiki hii...Mdude alivamiwa na polisi akiwa amelala na mkewe, akapigwa sana bila kosa na kuchukuliwa kupelekwa kusikojulikana. Kwa maelezo ya mkewe, Waliomchukua ni polisi na kutokomea naye, walimpiga kichwani na kitu kizito na akapoteza damu nyingi. Uwezekano wa kupona ni mdogo sana...
  5. Waufukweni

    PreGE2025 Zitto Kabwe: Tangu 2019 uchaguzi una mashaka, mwaka huu tupo kupambana, si kususa

    Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tangu mwaka 2019 kumekuwa na mashaka makubwa kwenye uchaguzi, na kwamba chama hicho kimeamua kushiriki mwaka huu ili kupambana kulinda kura kuliko kususa ambako hakubadilishi kitu. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea...
  6. Waufukweni

    PreGE2025 Zitto Kabwe achukua Fomu ya Ubunge Kigoma Mjini

    Kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, leo Jumapili amechukua rasmi fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia chama hicho. Zitto amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Jimbo, Ndugu Idd Adam, katika tukio lililoshuhudiwa na wafuasi na viongozi wa chama hicho...
  7. Erythrocyte

    PreGE2025 Zitto Kabwe tunakuomba utuambie sisi WanaJF Wenzako namna unavyoweza kushinda Ubunge kwa Tume Hii ambayo inawajibika kwa Mwenyekiti wa CCM

    Hoja yangu nimeileta kwa Wema tu, hasa nikikumbuka ya 2019, 2024 na nikurudishe pia 2020 ambapo uligombea lakini Aliyetangazwa kushinda Ubunge wa Kigoma Mjini ni Kirumbe Ng'enda wa CCM kwa matokeo ya uongo yaliyopangwa na Mamlaka. Nini kimebadilika leo ambapo umechukua tena fomu ya kugombea...
  8. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Zitto Kabwe asema CHADEMA imekufa kisiasa

  9. Jackbauer

    PreGE2025 Zitto Kabwe kuchukua fomu kugombea Ubunge Kigoma Mjini

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kesho Mei 04, 2025 atachukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama hicho kumteua kuwa Mgombea wa Jimbo la Kigoma Mjini ambapo akishachukua fomu ataongea pia na Wananchi wa Kata ya Bangwe. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
  10. Just Pray

    Zitto Kabwe: Miaka 15 niliyokuwa mbunge Wizara ambazo mijadala ya bajeti huwa ni vita ni Wizara ya Nishati, Mwaka huu imepitishwa bila mikwaruzano

    Katika muda wa miaka 15 niliyokuwa mbunge miongoni mwa Wizara ambazo mijadala ya bajeti huwa ni vita ni Wizara ya Nishati tangu wakati inaitwa Nishati na Madini. Mwaka huu naona bajeti imepitishwa bila mikwaruzano yeyote. Nilipata kusema huko nyuma kuwa Waziri Dotto Biteko ni 'Simba mwendapole'...
  11. Just Pray

    PreGE2025 POTOSHI Nape Nnauye anasema mwaka 2018 wabunge wa upinzani hawakuwahi kutetea zao la Korosho bungeni Isipokuwa Zitto Kabwe

    Wakuu, Mbunge wa jimbo la Mtama Nape Nnauye hivi karibuni nimemsikia akisema akisema mwaka 2018 yeye na wabunge wenzake wa mikoa ya kusini walisimama kutetea zao la korosho bungeni, Pia akitaja mtu anayemuita mjomba pamoja na Lema na wenzake hawakuwa watetezi wa korosho na kwamba leo wakijifanya...
  12. JanguKamaJangu

    Zitto Kabwe: Singh Seth kuendelea kudai kumiliki IPTL na kuisumbua Serikali na TANESCO ni utapeli wa wazi, anakiuka 'Plea Bargain'

    Jana Mjadala wa suala la IPTL kupitia Jamii Media JamiiForums umezuiwa kwa hoja kwamba jambo lipo mahakamani. Sikubaliani na tafsiri hiyo ya jambo kuwa mahakamani kwamba lisijadiliwe. Jambo hili ni la Umma, limeibuliwa na CAG, lazima lijadiliwe. KWANZA naunga mkono msimamo wa uongozi wa...
  13. F

    Nini sababu iliyomfanya Zitto kabwe kupinga ujenzi wa bwawa la rufiji JNHPP na kutaka Tanzania itumie Umeme wa gesi ,je alipewa rushwa na wenye gesi ?

    Hii video inamuonesha zitto kabwe akipinga kwa nguvu ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP, zitto kabwe alikuwa anataka tanesco wazalishe umeme 2100 MW kwa kutumia gesi asilia, zitto alisema maji hayatajaa kwenye bwawa la JNHPP maana uwezo wa maji kwenye mto umepungua kwa asilimia 47, cha...
  14. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Zitto Kabwe awaasa watanzania kuwa tayari kufa kidogo kwaajili ya Mfumo Mpya wa Uchaguzi, asema si lazima manufaa tuyapate sisi

    Allah Akbar !!... Ule wakati Sasa unakaribia Ni Mwanasiasa Nguri , Mwenye Misimamo Mkali na aliyeamua kua sehem ya historia ya Mabadiliko , Zitto Kabwe, akinukuu Maandiko Matakatifu Toka katika Quran Takatifu , amewasihi Watanzania wote nchini kua katika kuyatafuta mabadiliko ya kweli na...
  15. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Zitto: Hatutaki Ma-DED, vyombo vya ulinzi na usalama kuingilia uchaguzi kwa sababu huu ni uchaguzi wa wote, si uchaguzi wa CCM

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesisitiza umuhimu wa mabadiliko ya sheria za uchaguzi, akieleza kuwa haiwezekani uchaguzi kuwa huru na wa haki chini ya mfumo wa sasa. Akizungumza Jumamosi, Machi 29, 2025, Lindi Mjini mkoani Lindi, Zitto amesema kuwa ACT Wazalendo...
  16. Just Pray

    PreGE2025 Zitto Kabwe: Kwa chaguzi tatu mfululizo thamani ya kura imepotea, tumechapwa kibao kikali sana cha usoni

    "Kwa chaguzi tatu mfululizo thamani ya kura imepotea. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hakukuwa na kura, takribani wagombea wote wa upinzani walienguliwa. Mwaka 2020 tuliona kwa mara ya kwanza kura feki zikizagaa hovyo barabarani. Mwaka 2024 wakafanya kama mwaka 2020" "Matumaini yote tuliyokuwa...
  17. JanguKamaJangu

    Zitto Kabwe: IPTL ni dude linalofufuliwa kila Awamu

    Soma, Pia: CAG: TANESCO wanadaiwa Tsh. Bilioni 238 na IPTL – Deni la Tsh. Bilioni 111, Tsh. Riba Bilioni 127 IPTL dude linalofufuliwa kila Awamu. Mahakama ilishamaliza suala hili tena mahakama ya rufaa. Kampuni haipaswi hata kuwepo kwenye rejesta ya BRELA. Yeyote anayethubutu kurudisha mzimu...
  18. W

    PreGE2025 Zitto asema kauli ya makalla siyo 'Uenezi' bali ni 'Unazi', amtaka aifute na kuomba msamaha

    Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha ACT Waalendo, Zitto kabwe ametoa maoni yake pia kuhusu kauli aliyoitoa katibu muenezi wa CCM Amos Makala Kuhusu Chadema kuwa wanataka kupandikiza Ebola nchini. Kupitiaukurasa ake wa X Zitto ameandika: "Kauli hatari sana katika siasa zetu na kwa Taifa letu. Huu...
  19. Mindyou

    PreGE2025 Wananchi na viongozi wa dini wataka lililokuwa Jimbo la zamani la Zitto Kabwe, Kigoma Mjini ligawanywe mara mbili

    Mnamo Februari 26, Mwaka huu Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kupitia Mwenyekiti wake Jaji wa Rufani, Jacobs Mwambegele ilitangaza kuanza kwa mchakato wa kuchunguza, kugawa au kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi ambapo Tume hiyo imeanza kupokea mapendekezo hayo kuanzia Februari 27, 2025 hadi...
  20. Mindyou

    Picha: Tundu Lissu na Godbless Lema wakutana na Zitto Kabwe na Abdulrahman Kinana kwenye msiba wa Profesa Sarungi

    Wakuu, Naona huu msiba wa Profesa Sarungi unaendelea kukutanisha magwiji mbalimbali wa siasa hapa nchini. Soma pia: Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa, akiwemo Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu...
Back
Top Bottom