zanzibar

  1. GE2020 Lissu hajui historia mbinu anayotumia ya ngangari CUF Zanzibar walishaitumia haikuwafikisha popote

    Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya vitendo vya kigaidi .Mwisho was siku wakaja kugundua kuwa haziwapeleki popote wakaziacha Sasa Lissu...
  2. K

    Kujuana kwa itikadi za CCM, undungu na Mazoea kunavyozorotesha uwajibikaji Zanzibar

    Mada inahusika. Kwa miaka mingi ndani ya Serikali ya Zanzibar kumekuwa na mazoea ya kuchaguliwa kwa itikadi, kujuana na undugu. Yaliyopita ni mengi, lakini kwa muktadha wa mada hii tuangalie hii miaka mitano kutoka 2015 - 2020. Ikumbukwe Zanzibar inahitaji kuponywa majeraha mbali mbali ya...
  3. GE2020 Je, CHADEMA itamuunga mkono Maalim Seif kule Zanzibar na Membe atamuunga mkono Tundu Lissu katika nafasi ya Urais huku Bara?

    Najua kuwa mazungumzo bado yanaendelea kati ya Chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema na Chama cha ACT Wazalendo ya namna ya kuachiana nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao. Kwa mazingira niliyoyaona Leo kwa mgombea wa Urais wa chama cha Chadema, Tundu Lissu kuibuka kwenye mkutano...
  4. Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar ahamia CHADEMA

    Naibu Katibu Mkuu wa CUF upande wa Zanzibar Mhe. Faki Suleiman Khatib , ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA . Haya yametokea ndani ya vikao vya CHADEMA vinavyoendelea huko ukumbi wa Mlimani City
  5. J

    Wapiga kura 566,000 kushiriki Uchaguzi Mkuu Zanzibar!

    Tume ya uchaguzi Zanzibar imesema wapiga kura takribani 566,000 ndio watakaoshiriki uchaguzi mkuu mwaka huu. Idadi hiyo inajumuisha wapiga kura wa Visiwa vya Unguja na Pemba waliojisajiri kwenye daftari la kudumu Chanzo: ITV habari. Maendeleo hayana vyama!
  6. K

    Zanzibar: Watendaji wa ZEC na Polisi kupiga kura Oktoba 27 badala ya Oktoba 28

    Mwenyekiti wa ZEC jaji mstaafu Mahmoud ametangaza uchaguzi wa Zanzibar wa Rais, wawakilishi na madiwani kufanyika tarehe 27 na 28 Oktoba,2020. Tarehe 27 Oktoba ni maalumu kwa watendaji wa tume, wajumbe wa tume na Polisi ambao watakuwa zamu siku ya tarehe ya uchaguzi. Tarehe 28 itakuwa uchaguzi...
  7. Internet searches for Tanzania increase by 65 TIMES after Russian govt announces flights will soon begin

    Uperuzi wa Taifa la Tanzania mtandaoni umeongezeka mara 65 nchini Urusi baada ya Naibu Waziri Mkuu, Tatyana Golikova kutangaza kuwa nchi hiyo itarejesha safari za ndege za Tanzania kuanzia Agosti 1, 2020 Kwa mujibu wa Yandex, Ijumaa ya Julai 24, maombi ya kulitafuta Taifa la Tanzania mtandaoni...
  8. K

    TAFAKURI: Mzee Mkapa ameharibu mambo matatu tu, kuna doa sugu la Zanzibar

    Watanzania wote tupoe kwa msiba wa Mzee wetu huyu muhimu katika Taifa letu. Mapenzi ya mungu hayana makosa. Nikirudi kwenye mada, katika wiki hii ya maombelezo, kuna mengi yanaendelea kujadiliwa kumuhusu Mzee wetu. yameelezwa mazuri mengi na mapungufu vile vile. Mimi tafakuri yangu imefupisha...
  9. Zanzibar bora ingeungana na Mombasa kwa kuwa tamaduni zinafanana sana

    Khalifa Said mmoja ya waandishi huru ambaye amekuwa akindikia magazeti mbalimbali ya nje. Amekuwa na mtizamo tofauti kuhusiana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kwa wengi nadhani mmekuwa na Ufahamu hasa wa tamaduni za Mombasa ikiwepo moja ya Ukarimu kwa wageni pasipo kujali jinsia zao...
  10. Kufuatia Kifo cha Mkapa: Mikutano ya kuwapata Wagombea Urais wa Tanzania na Zanzibar kupitia CHADEMA yasogezwa mbele

    Kufuatia kifo cha Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa, Chama cha CHADEMA kimesogeza mbele mikutano yake ya kuwapata Wagombea Urais wa Tanzania na Zanzibar Mikutano ya kuwapata Wagombea hao kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 ilikuwa ianze Julai 27 hadi Julai 29, 2020 lakini sasa...
  11. K

    Hizi ndizo hoja na karama zitakazombeba mgombea yoyote wa Urais Zanzibar

    Mada inahusika. Kwa maoni yangu hizi ni hoja na Karama HOJA 1. Msimamo wa wazi wa hatma ya Zanzibar yenye mamlaka kamili au muungano wa usawa 2. Kudumisha umoja wa kitaifa na kuilinda serikali ya GNU 3. Kuitii Katiba ya Zanzibar na kupigania Maslahi ya wazanzibari katika mazingira yoyote. 4...
  12. M

    GE2020 Nimetia nia kesho nitamkuchulia fomu ya kugombea Urais Zanzibar, Sheikh Mselem kupitia CHADEMA

    Nimeweka nia ya kumchukulia fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar Sheikh Mselem Ali kwa tiketi ya Chadema kesho tar 20/07/2020 Sheikh Mselem Ally ana haki ya kuchaguliwa kama walivyokuwa na haki waznz wengine. Haya ni maono yangu binafsi kama Mtanzania. Kulalamika tu pembeni bila kuchukua hatua...
  13. Kuna unafuu wa bidhaa za umeme kutoka Zanzibar?

    Poleni na mihangaiko ya siku nzima ya leo. Kuna bidhaa nimeziona kwenye mitandao zainauzwa Zanzibar na watu wa bara wanaziagiza. Tafadhali naomba kujua kama kuna mtu anajua unafuu wa bidhaa za kutoka Zanzibar, mtu akiifuta huko na kuisafirisha kuja bara. Je, gharama zake zinakuwaje hususani...
  14. F

    Kwa wafanyakazi Zanzibar kutakiwa wakampokee Mwinyi kwa wingi. Je, watu watarusiwa kumpokea Tundu Lissu atakaporejea nchini?

    Barua zimeandikwa huko Zanzibar kutaka wakuu wa idara za serikali wajitokeze kwa wingi kumpokea mgombea wa ccm ndugu Mwinyi na tena waliojitokeza waandikwe majina yao. Je, ndugu Tundu Antipas Lissu atakapowasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere watu wataruhusiwa kumpokea?
  15. GE2020 Mwanamke ajitosa kugombea urais Zanzibar kupitia CUF. Afanya idadi kufikia sita(6) kwa upande wa Zanzibar

    MWANAMKE AJITOSA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CUF. AFANYA IDADI KUFIKIA SITA(6) KWA UPANDE WA ZANZIBAR
  16. K

    Jicho la Tatu ziara ya Mteule Urais CCM Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi

    Naam, ni wakati mwengine tunakupatia taarifa. Jana tarehe 15 Julai, 2020 kulikuwa na mapokezi ya Mteule wa urais wa CCM Zanzibar dkt Hussein Mwinyi. Ziara ilifana na iliandaliwa vya kutosha. Tutatoa tathmini fupi kutokana na taarifa zetu. Shabaha na kupima upepo. Ziara si tu kwamba ilenga...
  17. GE2020 CUF: Wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kujulikana Julai 27, katika Mkutano Mkuu wa Chama

    SISI CUF MGOMBEA WA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MGOMBEA RAIS WA ZANZIBAR WATAJULIKANA JULAI 27 "Mkurugenzi wa Mipango Na Uchaguzi CUF TAIFA Mhe. Juma Kilaghai ameyasema hayo Leo katika mahojiano na Waandishi wa habari kuwa Tarehe 27 mwezi huu ndiyo siku ya Mkutano Mkuu wa...
  18. J

    GE2020 Dkt. Mwinyi: Wajumbe wa Zanzibar waliotupigia kura ni 68 hata kama ni kweli wenzangu walipata 35 basi na mimi nilipata 33

    Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dr Mwinyi amesema wajumbe wa Zanzibar waliowapigia kura walikuwa 68 na siyo 35 kama inavyovumishwa. Mwinyi amesema hata kama ni kweli wenzake hawakupigiwa kura na wajumbe wa bara kitu ambacho hakiamini, bado yeye naye atakuwa amepata kura 33 kutoka...
  19. Ubeberu wa Tanganyika dhidi ya Zanzibar ni wa kiwango kisichostahamilika

    Wakati Tanganyika inafanya figisufigisu ya kile ambacho kwa sasa tunakiita muungano, Nchi ya Tanganyika na Zanzibar zote zilikuwa huru na kila moja na mamlaka yake kamili ndani ya mipaka yake. Muda mfupi tu baada ya Muungano taratibu tanganyika ikajiona sasa ni Baba mwenye nyumba kuanza kuweka...
  20. J

    CHADEMA kuweka Wagombea katika majimbo yote ya Zanzibar

    Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA Salumu Mwalimu ataongoza mashambulizi kwa kugombea Ubunge jimbo la Kikwajuni. Hadi sasa zaidi ya makamanda 34 wa CHADEMA wameshachukua fomu za kugombea Ubunge na uwakilishi nchini Zanzibar. Chanzo: ITV habari Maendeleo hayana vyama
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…