zanzibar

  1. T

    Hussein Mwinyi atashinda uchaguzi, Maalim Seif atashinda kura

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kimehitimisha mchakato wa kupata mgombea wake wa urais kwa upande wa Zanzibar. Ni Hussen Ali Hassan Mwinyi. Mwanasiasa mtulivu, mkimya na asiyependa kujikweza. Zipo tetesi kuwa ukimya wa Hussein Mwinyi, unavuka mipaka ya kawaida. Hata kwenye vikao vya Baraza la...
  2. Roving Journalist

    GE2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

    UPDATES 13:15hrs: Matokeo ya Kura za ya wanachama watatu waliokuwa wakiomba ridhaa ya kuwania urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM. 1. Dkt Hussein Ali Hassan Mwinyi -kura 129 (78.65%) 2. Dkt Khalid Salim Mohamed -kura 19 (11.58%) 3. Shamsi Vuai Nahodha -kura 16 (9.75%). Zanzibar 2020 - Wasifu...
  3. Suley2019

    Mwenyekiti wa Chama cha ADC, Hamad Rashid Mohammed achukua fomu ya kugombea Urais Zanzibar

    Mwenyekiti wa Chama cha ADC ambaye pia ni Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohammed, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho.
  4. J

    Tatu bora urais Zanzibar kujulikana leo

    Kamati kuu ya CCM inaketi leo kupitia majina matano ya wagombea urais wa Zanzibar na hatimaye kupitisha majina matatu yatakayokwenda kupigiwa kura. Up dates; Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya...
  5. S

    Mjane wa aliyekuwa Jaji wa Zanzibar, Marehemu Mkusa Isack Sepetu anatafutwa baada ya kuharibu nyumba ya shirika la nyumba Zanzibar

    Wakuu naomba tujadili suala hili kwa kina. Huyu Mjane alikua anaishi kwenye nyumba ya serekali. Baada ya mumewe kufariki alipewa notisi ya kuhama. Alifanya jitihada kubwa ya kuiomba Serikali imfikirie na imuachie akae katika nyumba hio ambayo inaonekana walitumia gharama kubwa kuiremba na...
  6. jmushi1

    Unless the international community acts soon, the ruling CCM will steal the October elections. Zanzibar will descend into crisis

    For generations, Tanzania has been a beacon of peace and stability in a region characterised by civil unrest. It has stood out as a wise kid among more restless neighbours. In 1979, for instance, the town of Moshi hosted critical Ugandan talks that led to elections in 1980. In 1993 and then...
  7. Roving Journalist

    Maalim Seif achukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo

    Maalim Seif akabidhiwa fomu za kuomba ridhaa ya Chama cha ACT Wazalendo kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kakabidhiwa fomu hizo na Katibu Mkuu wa Chama, Ndugu Ado Shaibu katika Ofisi Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo iliopo Vuga, Zanzibar. Maalim Seif...
  8. Chizi Maarifa

    Bara hatuwezi mweka Rais Zanzibar ambaye hatumfahamu vizuri. Tutamweka Mwinyi

    Wazanzibari msijidanganye kuwa eti mtachagua Rais. Bara tunafahamu kuna baadhi ya Wanzanzibar wanaogombea nafasi hiyo wanataka waje kutumika na Maarabu. Hatutaruhusu hilo. Hussein Mwinyi ndiye ambaye tutamweka awe Rais wa Zanzibar nanyi mwende kumpigia kura ya kumpitisha. Kuna watu wasitegemee...
  9. Mzukulu

    CCM Zanzibar kama ni kweli mmependekeza iwe hivi basi mnaenda kutengeneza Makundi na Mpasuko baina yenu

    Akina Mzukulu tupo pale mlipo na tutaendelea kuwepo hadi Jumapili ijayo huko Dodoma ila nimesikitishwa mno na Mapendekezo yenu ya Kiuwoga kuwa Mmekubaliana na uliokuwa pia Mtazamo wangu kuwa Profesa Makame Mbarawa awe Isles next CCM Flag bearer kwa mwaka 2020 lakini eti kwa Kumpoza Mzee Mwinyi...
  10. Fredrick Nwaka

    KAMATI Maalum ya CCM imependekeza Majina ya Wagombea 5 wa Urais Zanzibar

    Kamati maalumu ya CCM imemaliza mkutano wake huko Zanzibar kwa kupitia majina yote wanachama waliochukua fomu. Tayari majina matano yamepatikana ambayo yatawasilishwa kwenye Kamati Kuu ya CCM itakayoketi wiki kesho pale Dodoma. ===== KAMATI Maalum ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)...
  11. CUF Habari

    Prof. Lipumba amemsimamisha naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mhe. Faki Suleiman Khatib

    TAARIFA KWA UMMA Mwenyekiti wa CUF- Chama Cha Wananchi Prof. Ibrahim Haruna Lipumba, kwa kutumia Mamlaka ya Kikatiba, amemsimamisha Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mhe. Faki Suleiman Khatib katika kutekeleza Agizo la Baraza Kuu la kuondoa Mapungufu na Kuimarisha Kamati Tendaji. Nafasi ya Naibu...
  12. Erythrocyte

    Kamati ya Maadili yajifungia kupitia mafaili wataka urais Zanzibar

    Hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa ratiba za chama hicho. Kamati hiyo ina jukumu la kupitia fomu ya kila mgombea kabla Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya CCM upande wa Zanzibar haijakaa vikao vyake leo vitakavyohitimishwa kesho chini ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk. Ali Mohammed...
  13. Gavana

    Zanzibar: Fitina Adui wa Umoja

    ZANZIBAR: Fitna Adui wa Masikilizano na Umoja Kutoka kwa Ibrahim Noor, Kwenda kwa: Walter Bogoya, Generali Ulimwengu, Mohamed Said J Mihangwa, Jarugum, Juma Mwapachu, Mtwangi, P Karugendo, Azavel Waitama, Issa Shivji, Chambi Chachage, Nizar Visram, Na Kwa Kila Linaemkhusu Kote...
  14. Gavana

    CCM Zanzibar kunaanza kufuka moshi

    Urais Zanzibar 2020: Makundi yanavyohaha kuzuia mabadiliko! 1 July 2020 Oktoba mwaka huu wapiga kura wa Zanzibari tutamchagua Rais mpya, akiwa ni Rais wa nane tangu Mapinduzi Matukufu ya mwaka 1964. Uchaguzi wa Rais Zanzibar mwaka huu pengine utaingia katika rekodi ya namna yake kwani kwa...
  15. Deogratias Mutungi

    Dkt. Hussen Mwinyi: Tumaini linalorejea Zanzibar

    DKT HUSSEN MWINYI TUMAINI LINALOREJEA ZANZIBAR Na, Deogratias Mutungi Nianze makala haya kwa kusema Zanzibar na Wazanzibar kwa ujumla wake awamu hii wanaweza kupata kiongozi aliye bora zaidi na mwenye maono ya pekee katika ukombozi wa Mzanzibar mwenyewe dhana hii inajengwa kutokana na...
  16. Erythrocyte

    Zanzibar: Majimbo manne ya uchaguzi yafutwa na kubakiza Majimbo 50

    Tume ya uchaguzi ya Zanzibar imetangaza kufuta majimbo manne ya uchaguzi na hivyo kubaki majimbo 50 pekee, ambapo Unguja yatakuwa 32 huku Pemba yakibaki 18. Haijafahamika kama Tume imejituma yenyewe kufanya jambo hilo au imetumwa ili kuwaokoa watu fulani na wala hakuna sababu zozote za maana...
  17. J

    GE2020 CHADEMA teteeni nafasi yenu ya KUB na ACT Wazalendo watoe Makamu wa Rais Zanzibar. Nafasi ya Rais CCM haipingiki

    Nitoe tu angalizo kama ambavyo maalim Seif wa ACT Wazalendo ameona ni heri akainyemelea tena nafasi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar. CHADEMA pambaneni muitetee nafasi mliyonayo Bungeni ya KUB kwa sababu bado hamjawa na uwezo wa kutoa Rais wa JMT. Kwa sasa Rais Magufuli hapingiki kwa...
  18. mwana wa mtemi

    Profesa Mbarawa atapita Zanzibar kwa zaidi ya 80%

    Wakuu baada ya Mwalim Seif kutangaza nia ya kuwania Urais Zanzibar, ni dhahiri shahiri Profesa Mbarawa atapita kwa kishindo kikubwa! Prof amezidi kuipaisha nyota yake katika utendaji wenye mafanikio makubwa kwa Wizara alizosimamia zenye kuhudumia Watanzania zaidi ya 58+ Million! Kwa Zanzibar...
  19. M

    GE2020 Wakati umefika Maalim Seif agombee Urais wa JMT siyo Zanzibar

    habari ndugu zangu wana JamiiForums. Nionavyo Mimi Maalim Seif ajaribu kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa sababu hizi 1: Amegombea Zanzibar kwa takribani miongo mitatu bila mafanikio hivyo ajaribu na JMT 2: Maalim Seif ni mwanasiasa makini hivyo akigombea JMT na akashinda Tanzania nzima...
  20. Analogia Malenga

    Zanzibar: Maudline Cyrus Castico achukua fomu kuomba ridhaa ya kugombea urais

    WAZIRI wa Kazi, Uwezeshaji Wanawake, Wazee na Watoto, Maudline Cyrus Castico amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amekuwa ni mgombea mwanamke wa tano kuchukua fomu hiyo, pia ni wa 32 kwa ujumla wa idadi ya watu waliochukua fomu kugombea urais...
Back
Top Bottom