Huyu member kitambo sana sijamuona Jf alikuwa mcheshi na anatoa madini sana sasa sijui kimemkuta nini natamani kujua BICHWA KOMWE -
secretarybird alikuwaga demu wake baada ya kumpora kutuka kwa Busu la Kenge
Cc : Fake P
Mbunge wa Viti Maalum(CCM) Mkoa wa Arusha Cecilia Daniel Paresso Cecilia Paresso amesema ahadi ambazo alizitoa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa atatekeleza ndani ya siku 100 tayari ameanza kuzitekeleza ikiwemo mpango wa bima ya afya kwa wote na mikopo kwa wajasiriamali.
Akizungumza Februari 2...
Yuko wapi huyu mdada Lissa hajaonekana mda mrefu sana si mtaani wala mitandaoni
Ikumbukwe lisssa alikua mdau wa utalii wa ndani Tz miaka ya 2011 pia aKawa manager na mke wa mabeste msanii wa Hip hop, wakapata watoto wawili
Mwaka 2019 akaachana na mabeste(akimtuhumu kuwa ni mvivu) na kuolewa...
Jamaa alichimba biti zito la mdogo wake kuachiwa ndani ya masaa 24, yakipita hayo masaa atakinukisha vibaya mno.
Cha ajabu yamepita masaa, siku, wiki, mwezi hatimaye miezi sasa jamaa hakuna lolote alilolifanya.
Je yeye ndiye amefanyiziwa? Huu ukimya unaleta mashaka.
Habarini wanajamvi.
Kizazi hiki cha sasampa hovyo kabiSA, Sikujua Lili Nas x yuko vile.Nimefuatilia dogo ana laana yule.LAANA ZIENDE
KWAKE.Alitembeaga uchi uko marekani alikamatwa aliwekwa sober house,sijajua kesi yake iliishaje.
Aliwaingiza vijana wengi kwenye mkenge wa mafanikio kupitia matarajio hewa
Alitukana kukejeli na kudhihaki watu wasiofanikiwa na wanaojitafuta
Huyu tuliwahi kusema ni mojawapo ya zile project kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Uchaguzi wa kiini macho ulipopita naona umepita naye! Zile fujo zake...
Aliwaingiza vijana wengi kwenye mkenge wa mafanikio kupitia matarajio hewa
Alitukana kukejeli na kudhihaki watu wasiofanikiwa na wanaojitafuta
Huyu tuliwahi kusema ni mojawapo ya zile project kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Uchaguzi wa kiini macho ulipopita naona umepita naye! Zile fujo zake...
Haya maandamano,mambo haya ni hatari sana.
Watanzania wanataka amani.
Vijana wanataka kuchoma moto nchi.
Tufanye nini?
Tuwaombe vijana. Mambo wanayowaza siyo sawa. Wanaondoa umoja wa kitaifa kwa kusema kwamba wanataka kuandamana.
Acha Serikali iseme kwamba atakayeandama atakiona cha mtema...
Salaam!
Ikiwa kuna gen Z walioshiriki maandamano na kushtakiwa kwa kesi dhaifu ,batili ya uhaini wako uraiani,
Nini kinamshikilia Tundu lissu gerezani Hadi sasa ambaye hata hakuwa uraiani maandamano yalipotokea?
Hakuna kesi, hakuna ushahidi, hakuna shahidi lakini bado anashikiliwa.
Ninyi GEN...
Wananchi wengi wanakasirika sana kuambiwa kukaa ndan kwa sababu wanakosa kufanya biashara zao, ukwel ni kwamba itakapotokea mtu anataka kuandamana tena basi wananchi watadeal nae moja kwa moja kwa sababu hawataki kuwekwa ndan tena
Hivyo wanaharakati angalieni siasa mnazofanya saaahv msije...
Mwenyekiti msaatafu wa Chama kikuu Cha Upinzani Freeman Mbowe yuko wapi?
Anakaa vipi kimya kwenye hali mbaya ya kisasa kama hii kuwahi kutokea nchini?
Carlos The Jackal
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) jijini Dar es Salaam, Bishop Zachary Kakobe ni miongoni wa watu wenye umaarufu mkubwa ndani na nje ya Tanzania, kutokana na huduma zake za kiroho kama Mtumishi wa neno la Mungu.
Lakini si hivyo tu, Bishop Kakobe ni mmoja wa watu wenye...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Tulikuwa tunamcheka ayatollah kuwa anaishi kwenye mashimo kama panya
Lakin angalau yule mzee wa kipesian ana maadui kutoka nje
Huyu wa kwetu anaishi mashimoni kama panya na maadui zake ni WA ndani
Kwa taarifa zilizopo sasa wamemkalibia...
Kuielewa mada hii pitia hii kwanza kisha ndio uendelee
https://www.jamiiforums.com/threads/ilivyo-ngumu-kumlinda-mateka.1494053/
Kwa hali ilivyo ni wazi kwamba aliyekuwa balozi wa Tanganyika nchini Cuba alitekwa na 'wasiojulikana' baada ya kuwabagaza vilivyo
Swali muhimu je bado yuko hai? Na...
PM - Waziri mkuu ndio dila ya serikali, ndie anasimamia shughuli zote za serikali.
Tunachokiona huku uraiani ni kwamba, kuchomwa moto kwa Ester kumemvuruga sana, Japo yeye ameyakana
PM anajitetea sana kuliko uharisia. Wananchi hatujui nani wa kututoa hapa tulipo.
Sisi wananchi hatujui dila ya...
Nchi pekee ambazo Rais Samia yuko huru kuzitembelea duniani ni Uganda na Burundi kwa wauaji wenzake. Nchi nyingine zote akithubutu kufanya ziara lazima atazomewa 😭!
Hii ni aibu kubwa kwa Watanzania!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.