yesu

  1. H

    Ukweli ni dini mpya

    Viongozi wote wa Kiafrika wakubali wakaungana na kusimama katika mshikamano watafanikiwa kuwakomboa watu wao wanaoishi katika umaskini. Waafrika wote wanahitaji kuungana tena na kuacha kuruhusu Magharibi kudhibiti utajiri wa Afrika. Viingozi wa Afrika yote mnahitaji ka kudhibiti utajiri wa...
  2. The Zanzibar Echo

    Kasongo, Zakayo, El Chapo na Naibu Yesu - kwa nini rais wa Kenya ana majina mengi ya utani?

    Mei 2025 Rais wa Kenya William Ruto ni mtu mwenye majina mengi ya utani. Naibu Yesu, El Chapo, Hustler na Muuza Kuku ni baadhi tu ambayo amepata katika miaka ya hivi majuzi. Kama ilivyo ada wakati watu wanapewa majina mbadala, mengine ni kuonyesha mapenzi lakini mengine yanakusudia kumdhihaki...
  3. Friji la mtumba

    Je, Yesu wa Kikristo ni yule yule Nabii Isa wa Kiislamu? Tofauti ni zipi?

    Nimekuwa nikisikia mijadala mingi mtaani na hata mitandaoni kuhusu Yesu na Nabii Isa. Wengine wanasema ni mtu mmoja kwa majina tofauti, wengine wanadai kuna tofauti kubwa sana. Katika Ukristo, Yesu anatajwa kama Mwana wa Mungu, alizaliwa na Bikira Maria, alifanya miujiza mingi, alisulubiwa...
  4. ELI COHEN

    Yesu ndio anabaki kuwa "religious figure" bora kuwahi kutokea. Katika safari yake hakuagiza damu yoyote wala hakufanya figisu kuufikia umashuhuri.

    Sijali kama utamuita Mwana wa Mungu, Nabii au Mwalimu. Ila katika maandishi ya vitabu na simulizi hatujaona mahara alisema mchukie wayahudi kwa kunikataa, muaue waroma kwa kunisurubu na muangamize wote wasiotaka kufata kile nilichowafundisha. CHRIST IS KING
  5. Brain Kingdom

    Tunamuombea Ambaye alisema Yupo mpaka Yesu atakaporudi apate fursa ya kwenda kumsalimia kukidhi matarajio yake

    Maombi rasmi ni kwamba aendelee na dharau na kufuru wao wapo hadi siku ya ujio wa Yesu kristo.
  6. Waufukweni

    Mfalme Zumaridi akamatwa na Polisi Mwanza

    Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza linapenda kutoa taarifa kuwa leo tarehe 15.05.2025 majira ya saa nne asubuhi huko mtaa wa Buguku, kata ya Buhongwa, wilaya ya Nyamagana, limemkamata na linaendelea kumhoji Diana Edward Bundala ambaye pia hujitambulisha kwa jina la Mfalme Zumaridi, miaka 42, mkazi...
  7. SankaraBoukaka

    Fanya haya ufungue Mbingu yako ya 7 ya ufahamu

    Mbingu ya saba” si tu mahali angani bali ni hali ya juu kabisa ya fahamu, uelewa, na muunganiko na Mungu/Nguvu ya Juu. Katika mafundisho ya dini na mila nyingi: Mbingu ya kwanza hadi ya sita ni viwango vya uumbaji na uhai wa kiroho. Mbingu ya saba ni ya juu zaidi, iliyojaa mwanga, hekima, na...
  8. Meneja Wa Makampuni

    Kuna watanzania wanamkataa Yesu Kristo, Lakini Wanaishi kwa kufuata mfumo wa Tarehe Yake ya kuzaliwa

    Kuna watanzania wanamkataa Yesu Kristo, Lakini Wanaishi kwa kufuata mfumo wa Tarehe Yake ya kuzaliwa Ni ajabu, dunia inavyojikanganya. Watu wengi wanakana kuwepo kwa Yesu Kristo, wanabeza mafundisho yake, na wanajifanya hawamwitaji. Lakini kila siku wanathibitisha kuwa maisha yao bado...
  9. Meneja Wa Makampuni

    Kwanini mapepo, majini, wachawi na roho wabaya wote humwogopa YESU KRISTO

    Yesu Kristo - Mbabe wa mapepo, majini, wachawi na roho wabaya wote "Na pepo waliokuwa waovu walipomwona, walianguka mbele yake, wakapiga kelele wakisema, Wewe u Mwana wa Mungu!" Luka 4:41 Katika ulimwengu wa kiroho, kuna vita visivyoonekana vinavyopiganwa kila siku kati ya nuru na giza...
  10. U

    Nimeshangaa Wasabato walijuaje ratiba za mbinguni hadi kudai Yesu alihamia chumba kingine hekaluni mbinguni 22, 10, 1844?!?

    Wadau hamjamboni nyote? Niombe moderator uache Uzi huu ujitegemee wenyewe tafadhali Sio lengo langu kubeza au kukashfu ila navyojua ratiba za mbinguni kwa maana ya siku, mwezi na mwaka hilo husalia kuwa siri ya mbingu Pale mwanadamu anapojidai kujua ratiba za Mwana wa Mungu akiwa hukoo...
  11. ELI COHEN

    Mtu anahangaisha kichwa chake kuhakikisha kuwa Yesu sio Mwana wa Mungu lakini mtu huyo huyo anaamini kitabu chao cha dini kilipokelea kutoka mbiguni😁

    Sawa, wala sijali unaamini nini, naheshimu unacho kiamini. Ila kama unaamini vitu ambavyo wewe mwenyewe haukuwahi kushuhudia sasa kwanini unakataa kuamini vitu vingine vinavyoaminiwa na watu wengine walio kama wewe ingawa wana itikadi tofauti. Sasa nani mshamba? wewe unaepata maelekezo ya mtu...
  12. matunduizi

    Kwa nini siku hizi hakuna miujiza kama Yesu alivyoagiza KWA wafuasi wake?

    Wakatoriki ndio kabisaa hawataki kusikia hizi habari wao wamejielekeza zaidi kwenye mifumo yao ya kiibada basi. Wasabato nao ni kama wamekatazwa kufanya eti KWA sababu Shetani atafanya na yeye miujiza bandia. Wamejikita kutaka Yesu arudi mapema. Walokole badala ya miujiza wao wamejikita kwenye...
  13. The redemeer

    Wafahamu Yusufu na Nicodemus watu waliojitolea kumzika Yesu

    Katika simulizi ya kusisimua ya mwisho wa maisha ya Yesu hapa duniani, tunawaona watu wawili wa kipekee: Yusufu wa Arimathaya na Nicodemus. Hawa si watu wa kawaida walikuwa watu wa heshima kubwa, wanachama wa baraza la Sanhedrin (baraza kuu la wayahudi), lakini pia walikuwa wanafunzi wa Yesu kwa...
  14. The redemeer

    Wafahamu mitume 12 wa Yesu na jinsi walivyokufa

    Utangulizi Ni jumuiya ya wanafunzi wa Yesu waliofanyik limbuko katika kazi ya Kristo Ulimwenguni ambao waliokubali kuacha vyo wakajitoa dhabihu kukaa hekaluni huku mwjuku na familia zao zkitwketea kwa kukosa usimamizi na mapenzi wala huduma za msingi toka waanzilishi wa familia husika. Yesu...
  15. The redemeer

    Hoja za kina ya Goethe juu ya Mungu na Yesu

    ---------------------------------- Johann Wolfgang von Goethe alikuwa mshairi, mwandishi wa riwaya, mwanafalsafa, mwanasayansi, na mwanafalsafa wa Kijerumani aliyeishi kati ya 1749 na 1832. Anachukuliwa kuwa mmoja wa watu muhimu kabisa katika fasihi ya dunia na maarufu sana katika harakati ya...
  16. H

    Waroma wanaamini Bob Marley ni NABI MWEUSI lakini waafrika wafia dini wanaamini manabii ni mohamad na yesu tu

    Bob Marley alizaliwa na mama mweusi na baba mweupe. Japo alikuwa na ukoo mweupe, Bob Marley alijitambulisha kama Mwafrika Mweusi na alikuwa mtetezi hodari wa Pan-Africanism. Hili lilidhihirishwa na onesho alilofanya huko Roma- Italy mwaka 1980 na kujaza uwanja kwa idadi kibwa ya watu kufikia...
  17. Wazolee

    Haya ndio majabu ya Maneno ya Yesu na ukristo

    Yohana 5:30 Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka. Na haya ndio maneno aliyoambiwa ayaseme Yohana 17:3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa...
  18. matunduizi

    Kwa nini Yesu alipenda kuingia Nyumba za MATAJIRI na SIO masikini rafiki zake?

    Kuna mchungaji mmoja nilimuuliza KWA nini unapenda kutembelea Nyumba za MATAJIRI na Sio masikini akasema hata Yesu aliifanya hivyo. Mwingine Nigeria anashambuliwa KWA kutoa kauli kama hiyo. Ikabidi nizame kwenye NENO kumchunguza Yesu. Nikagundua.... Yesu alipokutana na Tajiri Zakayo...
  19. Setfree

    Je, ni sahihi kuwasalimia watu kwa kusema: “Bwana Yesu Asifiwe” au “Tumsifu Yesu Kristo”?

    Katika jamii mbalimbali maneno: “Bwana Yesu asifiwe” au “Tumsifu Yesu Kristo,” yamekuwa yakitumika kama salaam za kawaida - wakati mtu anapowasalimia waliohudhuria sherehe, mkutano, ibada nk. Kwa ujumla, maneno hayo sio ya kusalimiana. Hayo ni maneno ya kumsifu Mwokozi wetu Yesu Kristo...
  20. M

    Makobazi ya Yesu wa Nazareth

    Makobazi, a.k.a Sandals ni vazi pendwa kwa wachamungu wengi, toka enzi za kale za manabii, vazi la miguuni la makobazi limekuwa ni mujarabu kabisa. Uzuri wa kobazi hili ni kuwa ni vazi jepesi, vazi modest, lisilo na mbwembe, flexible kufanya Ibada. Katika manabii waliokuwa wakipenda vazi hili...
Back
Top Bottom