yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. aka2030

    Kwanini waandishi wa habari wengi hukaa upande wa Yanga pale Uwanja wa Taifa?

    Nauliza tu hii imekaaaje? Mechi nyingi waandishi wa habari wengi na hata pia watu maarufu hukaa upande wa Yanga? Ambapo huwa mpaka siti za wanaolipia VIP A wanakosa siti. Pamoja na kutengewa sehemu yao ya kukaa ambayo huwa kama haiwatoshi.
  2. mugah di matheo

    CCM na Yanga SC: Si mmevuna mlichotaka iweje mnateseka? Tuacheni tupumzike kidogo

    Humu JF saivi kuna trend za thread za WanaCCM na wana Yanga ambazo lengo sio kushangilia ushindi waliopata Bali ni kujaribu kuwasihi wale waliowaonea wakubaliane na matokeo Mfano wa hizo thread ni Mzee shomari--------- Mzeee mgaya anasema---- Hanspope sio ----------- Marefa wa Bongo ----...
  3. Chizi Maarifa

    Kama Marefa wataacha kutuharibia Team Yanga tunaweza kuwa na Team nzuri

    Nimeumia sana kwa kitendo cha jana. Pamoja na Simba kutokuwa na washambuliaji wao Mahiri bado wanafunga ktk wakati ambao tuliamini tumeshinda. Mimi ni Mwanayanga ambaye huwa siumi umi maneno. Jana Simba wameshinda 1-0 ukiondoa lile bao la penalty ambalo tulipewa. Najua wanayanga wenzangu...
  4. K

    Hatimaye mtanange wa yanga na simba waishia kwa 'sare'....!

    Mungu buana sijui kwa nini ameliweka jambo hili namna hii..kwamba Yanga Imepata sare kwa penati.Achilia mbali issue ya penati ile kuwa ilikuwa halali au la.?....manusura ni ile penati...! Isingekuwa kwa hisani ya PENATI ile sasa tungekuwa tunaimba 'kalale pema peponi Kamanda' .Hata hivyo...
  5. Little brain

    Kama mwanamichezo umegundua nini mechi ya Simba na Yanga

    Kwa upande wa simba watafute pacha nzuri centre back nzuri na defensive mildfilder kwa upande wa yanga nawapa pongezi kwa usajili wao. kiufupi wameimalika kila sehemu sijashangaa mkoko tonombe alipopewa tuzo ya MOTM WE UMEONA NINI?
  6. CAPO DELGADO

    Utabiri wangu kikosi cha Simba kitakachoanza na Yanga kesho

    First Eleven ya simba Vs Yanga hapo kesho November 2020. 1. Aishi Manula 2. Salum kapombe 3. Mohamed Hussein 4. Pascal wawa. 5. Joash Onyango. 6. Jonas Mkude 7. Luis Misqueson 8 Muzamiru Yassin 9. John Boko 10. Chama Mwamba wa lussaka ccc 11. Kahata Nyambura.
  7. Chizi Maarifa

    Yanga tushamaliza mchezo muda huu

    Wachezaji wa Simba wote tumewafunga matofali miguuni. Kipa ndo mbaya zaidi amevalishwa miwani ya mbao. Mtaalamu katuambia hamna shida refa tu naye awe muelewa. Hili pambano tumejipanga nalo sana wachezaji wamepikwa wakapikika vizuri sana kwa kutumia wataalam wa ndani na nje. Tuna uhakika Simba...
  8. F

    Yanga tuko vizuri

    Leo tena timu ya wananchi wanaibuka na ushindi wa saba katika VPL hapo kanda maalumu kwa kina Matiku,Marwa,Mwita,Mwikwabe na sasa tunabanana hapo kileleni na wale wauza ice cream wa Chamazi,mambo ni moto mikia mwaka huu tafuteni kombe la mbuzi,hahahahahahahahaha,kama nawaona vile
  9. Juakali jr

    Ushabiki wa siasa za nchi sio kama wa Simba na Yanga

    Wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapa juu, sitapenda kurudia kusema yaliyosemwa na wengine kwenye uchaguzi huu. Ila mwenye hekima ataweza kutofautisha madhara ya ushabiki wa timu za mpira na ushabiki wa siasa za nchi, tutakapoamua kushabikia siasa kama tunavyoshabikia Simba na Yanga tujue...
  10. mugah di matheo

    Live toka CCM kirumba: KMC vs Yanga

    Karibuni Kikosi cha KMC Kaseja Brysoñ Lusajo Dante Mgareneza Abdu Kenny ally Mveyekule Kabunda Hilary Ppeter Kikosi cha Yanga Mnata Kibwana Mstafaaa Lamine Mwamnyeto Mkoko Feisal Kaseke Waziri Jr Sapong Kisinda
  11. mugah di matheo

    VPL: Tanzania Prison vs Simba & Yanga vs Polisi Tanzania

    Karibuni tufuatilie mechi hizi pamoja Tushuhudie vigogo hawa watakavyofanya hii Leo Utaburi wangu Prison 0- 3 Simba Yanga 1- 3 Tanpolis OKW BOBAN SUNZU GENTAMYCINE @Forteleza na wengine toka vyurani Updates Kikosi cha simba Manula Kapombe Tshabalala Nyoni Onyango Mkude Mzamiru Bwalya...
  12. F

    Simba na Yanga zitaweza ushindani wa Afrika? Al Ahly imemuajiri kocha wa Mamelodi, Mosimane kwa mshahara wa Dola za Kimarekani 120,000 kwa mwezi

    habari wapenda soka, jana kulikuwa na mechi ya nusu fainali ya kwanza ya ligi ya mabingwa africa, kati ya Waydad casablanca na Al ahly mechi hiyo ilichezwa mjini Cassablanca huku waydad akiwa mwenyeji. na al ahly alikuwa ugenini.. mechi iliisha kwa al ahly kushinda goli 2-0 ugenini katika...
  13. mugah di matheo

    Tanzania vs Tunisia: Watakachokifanya mashabiki wa yanga ni uhaini kwa nchi

    Kitendo cha baadhi ya mashabiki kuhamasishana wakaishangilie timu ya taifa la kigeni ni sawa na kuifanyia nchi ya kigeni ujasusi dhidi ya nchi yako ambayo huhesabiwa ni uhaini na adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa
  14. McFerson

    Simba vs Yanga: Kocha mpya aambiwe mapema

    Wasalaam Aambiwe kwamba 1. SIMBA SC is another level hapa VPL 2. Viwango vya wachezaji wa Yanga ni vya chini ukilinganisha vya wale wa Simba 3. Kwenye derby ya Kariakoo asijichanganye akachezesha free game kisa achezeshe pira biriani, atajuta (a) kuijua Simba (b) kuifundisha Yanga Mpelekeeni...
  15. GENTAMYCINE

    Kwa 'Kauli' hii ya Kocha mpya wa Yanga SC Mburundi Cedric Kaze tayari barua yake ya Kuachishwa Kazi imechapwa na imetunzwa

    “Sichezeshi wachezaji 11 bora uwanjani nachezesha timu bora uwanjani. Sichezeshi jina wala staa, nachezesha timu ambayo italeta mafanikio na usishangae mchezaji mkubwa akawa anakaa benchi. Tunaangalia timu zaidi” Cedric Kaze' HabariLeo na Mwanaspoti Kama kuna Kosa ambalo huyu Kocha Mburundi...
  16. K

    Hatimaye Yanga imempata Professional anayecheza National Team - Ntibazonkiza

    Wote waliopo 'pale' hakuna aliyeitwa National Team hata kwa kutajwa tu...Hata hivyo Yanga imemnasa Kitasa Saidi Ntibazonkiza. Tunasema hivi Yanga ilipo tupo.. Bw Saidi akifika tunamsubiri kwa hamu tukamlaki Pale Airpprt
  17. Swahili_Patriot

    Ni nini mstakabali wa Bernard Morrison, Simba n yanga?

    Kwa wale wanaojua au walio na appropriate info, ninaomba nipate updates za progress ya kesi ya sakata la Morrison na waajiri wake. Asante
  18. R

    Yanga yamsajili mshambuliaji kutoka Burundi

    Ni yule aliyefunga goli jana katika mechi ya Tanzania na Burundi ana miaka 33
  19. kavulata

    Yanga kuchagua manahodha bila kuwa na Kocha Mkuu ni kukurupuka

    Kuna wakati unashindwa kuelewa kile wanachokifanya uongozi wa Yanga. Iko siku uongozi huu utaingia kwenye ugomvi mkubwa na wanachama na wadau wa Yanga. Matukio ya hovyo mpaka sasa chini ya uongozi huu: 1. Kumpoteza Beno Kakolanya 2. Kufujuza mpambanaji Zehera 3. Kuwafukuza akina Balinya 4...
  20. Deejay nasmile

    Mechi ya kirafiki: Mashabiki wa SIMBA vs Mashabiki wa YANGA

    Natamani iandaliwe mechi hiyo iwe official kabisa pale kwa mkapa.. Wachezaji wawepo mashabiki kindakindaki wa timu hizo pendwa nchini..ikibidi ni wale tu ambao wana fahamika..yaani watu maarufu mfano ..viongozi wa kidini, kisiasa, kielimu nk. wasanii, waburudishaji, watu wa media, social...
Back
Top Bottom